Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Sikumbuki tongozo lako babuWewe mwenyewe si ulinikataa?
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikumbuki tongozo lako babuWewe mwenyewe si ulinikataa?
Nimekufuata mpaka Arachuga ukanizimia simu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Humjui huyo mtu aisee,bado anawala na atawatafuna wengi humu kwa tamaa zao,last time I checked alikua anakatafuna kadada ka1 hivi ila kama alijiegesha tu
Lini hyoooo?!![emoji3526][emoji3526][emoji3526]Sijawahi kuona uzi ulio kuwa na speed kama ule yaani haukufika nusu saa ila Id zile ambazo zilikuwa hazionekani jf kuchangia zilijitokeza yaani uzi ulikimbia kuliko Simba[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Hapo kwenye kusema wenzie sasa umegusa kwenye mshonooooo tena mshono mbichiiiiii[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]!
Ni kanapenda kujiona kenyewe ndio kenyeweee kenyeweee ndio kajanjaaa kakishuaaaa ptyuuuuu pimbi tu kamie hapa!!
[emoji3064][emoji3064][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji3526][emoji3526]duhKakiitwa kanajilewesha ety kanajifanya kichwa kimeyumba kanachapwa weeeeeeh
Em tuma muamala nione kama nikweli babuNimekufuata mpaka Arachuga ukanizimia simu
LoohhhhhAfu Kanapenda ligi kinoumaaaaaa kumbe watu
wengi washakamanuaa sana humuu wanakajua kalivo mashauzi kijibwa koko tu kamie hapa!!
Heeeeeeeeeee...mabigggAwakusanye asiwakusanye woiiiiiiiii.
Me natamani ajichanganye.
Yeye bwana ake si mod anipige ban vzuri.
Mmhhh ..kaaazi kweli kweliHilo nalijua kipenzi nishapata hizo data kitrambo.... tunaripotiwa sana dear mbona tunaloo!! Na yeyote anaesogea karibu yetu kuleta fyoko lazima apigwe biti ili akae kwa password!!
Aseehhh...mjini Kuna mamboMwaka na miezi kwa sasa
Nyani ngabuHii code ya US pekee mmeniacha njia panda ya Himo nashoiya tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hii list ni mpya…….?…..maana mambo ni fayaaaa…..
😳Kweli kuna uzi watu walikula life ban na uzi kufutwa maana ililetwa picha ya muambukiza wenzie VIviyuuuu😕
Wewe yako iko wapi? Tutambulishe basi 😅😅Kumbe kuna watu na couples zao
Preta habari ya siku nyingi kipenziHii list ni mpya…….?…..maana mambo ni fayaaaa…..
Humu Kuna mambo aseeeeKenyewe ndo kanawaambukiza gono. Sio wao kumuambikiza.
Ww ccy unaakili sana, unajua unajua tena kudadavua[emoji1787][emoji1787]
Yako wapi mambo hayo?Humu Kuna mambo aseeee