Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
Sijui nini kilitokea matag kwishney😂😂🙏Hivi yule mzee wa mambo yao waachie wenyewe ameachika? Maana siku hizi sioni ma tag tag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui nini kilitokea matag kwishney😂😂🙏Hivi yule mzee wa mambo yao waachie wenyewe ameachika? Maana siku hizi sioni ma tag tag
Tupo! Karibu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemiss matusi yake ngoja aamke animwagie[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee wa us baby[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani yeye ameoa au ndio anaongeza idadi ya ma single mom mtaani?Mie na mzabzab ni maadui.......mpaka àache kutupondea single mom🤒
Jamani mie mbona nawasifiaga kuwa mnajua kucare na pia mnatoaga uno hatari.Mie na mzabzab ni maadui.......mpaka àache kutupondea single mom🤒
Angejua unavyotupondea humu....asingethubutu hata kumanua paja😏Jamani mie mbona nawasifiaga kuwa mnajua kucare na pia mnatoaga uno hatari.
Mwanamke niliyewahi kupata uno la maana ni single mom
Acha kabisa.....Dar wing walikuwa wakienda Arusha wing wanapewa hadi mbususu
Zamani raha kumbe
Wee mie mpka nimekuja mbeya nikuona single maza ukanitolea nje bwana.Angejua unavyotupondea humu....asingethubutu hata kumanua paja😏
🤣🤣🤣🙌Wee mie mpka nimekuja mbeya nikuona single maza ukanitolea nje bwana.
Masingke maza ndio wenyewe bwana
Ngoja kwanza niendelee kuwaombea wakosefu ili wamrudie Muumba
Shem imekuwa mwamposa siku izi? Mbona imekuwa ghafla sanaNgoja kwanza niendelee kuwaombea wakosefu ili wamrudie Muumba
Wachuchu wamenipiga vibuti. Sina wa kufanyia ukaguzi. Nikajikuta nalazimika kurejea kwa Maulana. Rudi kundini shemela, kwa Mungu kuna rahaShem imekuwa mwamposa siku izi? Mbona imekuwa ghafla sana
Basi unavoongea kama mtu vile[emoji125]Wachuchu wamenipiga vibuti. Sina wa kufanyia ukaguzi. Nikajikuta nalazimika kurejea kwa Maulana. Rudi kundini shemela, kwa Mungu kuna raha
Wewe mwenyewe si ulinikataa?