Nigawie mimi kama nafasi kwako zimejaa, mimi nimebakiza nafasu moja tu...πUmenishinda wewe
Naomba nisiseme neno mkuu, tuishie tu kwamba zamani Jf ilikua raha sanaaaa...πEwaaa nilimtamanigi ππ nilimuona kwa mala ya kwanza ile white part pale kebs π π π kuna jamaa alikuwa anajiweka karibu nae alikuwa blackberry bold naona kama alikuwa mkali wa hizo kazi kipindi kile π π π
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Umesema?
Hahaha..Nyani ngabu ni mtu wangu??.hebu futa hapo me nimeolewa kabisa huku mkuu usiniletee shida ndoa yangu bado watoto wachanga.shindwa pepo.hebu futa hapo kabla mwenyewe hajaingia humu
π π π au ndio weyee. mwenye blackberry bold ... kitambo ilikuwa tamuu sanaa.. nikielezea visa watu wasije unga dots njkajifichua na mie π€£π€£π€£ kuna mtu alikuwa anaitwa Horomarosha na Mentor .. haka kahoro kalinichomesha mahala nilivyojua daaah π€£π€£π€£π€£Naomba nisiseme neno mkuu, tuishie tu kwamba zamani Jf ilikua raha sanaaaa...π
Imeisha hiyo....πππ π π au ndio weyee. mwenye blackberry bold ... kitambo ilikuwa tamuu sanaa.. nikielezea visa watu wasije unga dots njkajifichua na mie π€£π€£π€£ kuna mtu alikuwa anaitwa Horomarosha na Mentor .. haka kahoro kalinichomesha mahala nilivyojua daaah π€£π€£π€£π€£
Ameachwa au wameachana? Mtu wa pembeni unaweza vipi kujua kuwa fulani ndiye aliyemuacha fulani katika mahusiano yasiyokuhusu?Smart ameachwa,siku hizi yuko single chali kabisa,anajiliwaza uzi wa rickboy kula tunda kimasihara
Utakuwa mmoja wa waliozitafuna sana mkuu, huwa nikikukumbuka nacheka tuππNaomba nisiseme neno mkuu, tuishie tu kwamba zamani Jf ilikua raha sanaaaa...π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulia basiAmeachwa au wameachana? Mtu wa pembeni unaweza vipi kujua kuwa fulani ndiye aliyemuacha fulani katika mahusiano yasiyokuhusu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, mimi hua nasingiziwa sana...πUtakuwa mmoja wa waliozitafuna sana mkuu, huwa nikikukumbuka nacheka tuππ
Ya kipindi ilikuwa ina bambaa sana, sasa hivi sarakasi mingiii sanaaa na kipindi hicho kuna katoto amu ndio kalikuwa kame maliza maliza IFM π π πImeisha hiyo....ππ
Enzi hizo ndio passo zimeingia bongo....ππ
Kuna kila dalili ya thread kwenda viral πNiko hapa kushuhudia vayolensi kwenye comments!
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mungu amtunze sana yule binti mrembo aiseeeee....Ya kipindi ilikuwa ina bambaa sana, sasa hivi sarakasi mingiii sanaaa na kipindi hicho kuna katoto amu ndio kalikuwa kame maliza maliza IFM π π π