Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabwana wapo ila wapowapo tuHongera yao wanaopata mabwana humu, tumetofautiana kweli.
WeweMabwana wapo ila wapowapo tu
Wamemention mwingine wamekuacha wewe😔Wewe
Unataka kusema nini eti 'wapowapo tu'Mabwana wapo ila wapowapo tu
Ila nimekumbuka mambo mengi sana aiseeee.....
Sinto sahau kwenye hekaheka za mbususu nilivyo sutwa wa wadada kama 10 hivi kwa pamoja hapa ndani...[emoji19]
Wapo tuUnataka kusema nini eti 'wapowapo tu'
Hongera yao wanaopata mabwana humu, tumetofautiana kweli.
Dah! Cc MahondawSmart 911 na Mahindaw?
Hii tag imeishia wapi?Dah! Cc Mahondaw
Humjui huyo mtu aisee,bado anawala na atawatafuna wengi humu kwa tamaa zao,last time I checked alikua anakatafuna kadada ka1 hivi ila kama alijiegesha tuSmart ameachwa,siku hizi yuko single chali kabisa,anajiliwaza uzi wa rickboy kula tunda kimasihara
Wazee wa Jangid Plaza.Nifah na The bold
Tunapoongelea maswala ya mahusiano, haijalishi tunaonana au hatuonani, lakini tunafahamiana.
Zama zile za kukutana Kebby's na Leo Tupo Hapa, zilitufanya tuwe kama ndugu huku kukiwa na Arusha Wing na Dar Wing.
Arusha Wing walitia fora kwani waliweza kuwakaribisha Dar Wing mkoani Arusha mara kadhaa huku wakiwaweka kwenye hoteli nzuri, vyakula bora, vinywaji na mbususu pia wana Dar es Salame walihudumiwa.
Kipindi kile kulikuwa na mahusiano yaliyobamba sana. Wengine walienda mbali zaidi hadi wakafunga pingu za maisha.
@ Mwita Maranya na mwaJ, walibamba sana. Hii ilikuwa bonge ya couple.
Kipaji Halisi na Madame B, huyu jamaa alikuwa anapenda sana mpira, umbo lake dogodogo tu, lakini ana push bonge la jimama. Madame B ni mzigo wa kwenda sio kitoto. Mbwata imekaa kwa kutulia, unaweza kuweka laptop yako ukaendelea na kazi zako asipojitingisha.
cacico na Kiranja Mkuu, huyu dada alipotelea wapi sijui, lakini mara ya mwisho nilikutana naye Karen Blixen Nairobi, aisee alikuwa ni mzuri ile mbaya.
suzy na Sumbalawinyo, huyu jamaa alikuwa mtata sana akitokea Sumbawanga, akajijuta amebeba bonge la toto.
Hizi couple za Sky Eclat na Asprin , Nyani Ngabu na Miss Natafuta, mzabzab na To yeye ni mpya sana aisee.
👀👀👀👀👀👀👀 Duuh jf sitakuacha asee huyu jamaa navyomchukuliaga kumbe ni kitombilo............Humjui huyo mtu aisee,bado anawala na atawatafuna wengi humu kwa tamaa zao,last time I checked alikua anakatafuna kadada ka1 hivi ila kama alijiegesha tu