Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,595
- 3,670
Hii ya Dar na Arusha wing inabid irudiwe asee,, wengne tulikuwa wadogoo [emoji16][emoji16][emoji16]Dar wing walikuwa wakienda Arusha wing wanapewa hadi mbususu
Zamani raha kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya Dar na Arusha wing inabid irudiwe asee,, wengne tulikuwa wadogoo [emoji16][emoji16][emoji16]Dar wing walikuwa wakienda Arusha wing wanapewa hadi mbususu
Zamani raha kumbe
Duhhhhh..... hao kweli wananijua kuliko hata mimi ninavyo jijua..🤣Hahahaaa kuna ubuyu wako niliusikia [emoji28][emoji28]
Hii dunia kuna watu wanajua mambo yako ambayo hata wewe hauyajui
Hakuwa mnafiki, mtaro anatoa kiroho safi, ila badae alikuja sema ameacha.. sasa sijui ilikuwa kweli au kupoteza maboyaa 😅😅😅 hakua mnafikiAnakuambia kuhusu kuruka ukuta kwake wala sio tatizo....ilimradi usimletee shoo ya kijinga ya kitoto [emoji23]
Nasikia yupo Makao makuu ya inchiOya mmemuona wp wazee, mambo muhim km hayo ya kitaifa tushirishikishane asee[emoji16][emoji16]
Madame B naomba na mi ata nkutie machoni tuu [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16]Ila nimekumbuka mambo mengi sana aiseeee.....
Sinto sahau kwenye hekaheka za mbususu nilivyo sutwa wa wadada kama 10 hivi kwa pamoja hapa ndani...[emoji19]
Jescah Richard si tuanzishe yetu?Kuna couple na hamsemi jaman[emoji23]
Nadhani bado yuko KigamboniPaloma alinimaliza sana 😅😅😅
Mabwana wapo basi ! Tabu tupu
Na lile tapeli la kisukuma? USA baby?Hivi wewe ndio uliahidiwa kupelekwa marekani?
Na lile tapeli la kisukuma? USA baby?
Hivi wewe ndio uliahidiwa kupelekwa marekani?
Na lile tapeli la kisukuma? USA baby?
Umepiga kwenye mshono...🤣Mzabzab huyu huyu mzee wa daily njugu swallow?
Lara1 hatari sana na story zake humu, daahWapi Paloma enzi zile JF ni JF.
Wapi Lara1