National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Goja nikake kivukoni kama nitamuona, roho yangu ifurahiNadhani bado yuko Kigamboni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goja nikake kivukoni kama nitamuona, roho yangu ifurahiNadhani bado yuko Kigamboni
ID yangu wali merge double double hadi nikapotezaga access😅😅😅 ila ipo active na ina uzi moja hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ID yako ya miaka hiyo ilikuwaje mkuu?
Toka 2007 nipo humu 😅😅nawe mzee kitambo sana
Itakuwa umezichakata Sana undercover kuliko hata yule mwamba nayemsikia sikia anaongoza kwa michakato ya mbususu humu ndani.Toka 2007 nipo humu 😅😅
Turudi Bukoba umesoma ya V. P?Goja nikake kivukoni kama nitamuona, roho yangu ifurahi
kila mahala ilikua ni cc mahindawSmart 911 na Mahindaw?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Mkongwe sana...kachakaza mnoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kila mahala ilikua ni cc mahindaw
kumbe bana alikua ni mtu mmoja anajitongozesha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNyani ngabu ni mtu wangu??.hebu futa hapo me nimeolewa kabisa huku mkuu usiniletee shida ndoa yangu bado watoto wachanga.shindwa pepo.hebu futa hapo kabla mwenyewe hajaingia humu
😅😅😅 sijawai fumania nyavu ya kiumbe wa JF mzee.. yule mwamba noma simuweziItakuwa umezichakata Sana undercover kuliko hata yule mwamba nayemsikia sikia anaongoza kwa michakato ya mbususu humu ndani.
Nipo ukandaa huu huu 😅😅Turudi Bukoba umesoma ya V. P?
2017 juzi juzi.Toka 2007 nipo humu [emoji28][emoji28]
QTunapoongelea maswala ya mahusiano, haijalishi tunaonana au hatuonani, lakini tunafahamiana.
Zama zile za kukutana Kebby's na Leo Tupo Hapa, zilitufanya tuwe kama ndugu huku kukiwa na Arusha Wing na Dar Wing.
Arusha Wing walitia fora kwani waliweza kuwakaribisha Dar Wing mkoani Arusha mara kadhaa huku wakiwaweka kwenye hoteli nzuri, vyakula bora, vinywaji na mbususu pia wana Dar es Salame walihudumiwa.
Kipindi kile kulikuwa na mahusiano yaliyobamba sana. Wengine walienda mbali zaidi hadi wakafunga pingu za maisha.
@ Mwita Maranya na mwaJ, walibamba sana. Hii ilikuwa bonge ya couple.
Kipaji Halisi na Madame B, huyu jamaa alikuwa anapenda sana mpira, umbo lake dogodogo tu, lakini ana push bonge la jimama. Madame B ni mzigo wa kwenda sio kitoto. Mbwata imekaa kwa kutulia, unaweza kuweka laptop yako ukaendelea na kazi zako asipojitingisha.
cacico na Kiranja Mkuu, huyu dada alipotelea wapi sijui, lakini mara ya mwisho nilikutana naye Karen Blixen Nairobi, aisee alikuwa ni mzuri ile mbaya.
suzy na Sumbalawinyo, huyu jamaa alikuwa mtata sana akitokea Sumbawanga, akajijuta amebeba bonge la toto.
Hizi couple za Sky Eclat na Asprin , Nyani Ngabu na Miss Natafuta, mzabzab na To yeye ni mpya sana aisee.
Mara kigamboni mara BK khaaNipo ukandaa huu huu 😅😅
Kuna kipindi ningekupora, sema nilikuheshimu tu😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]