Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums


Kuna couple na hamsemi jaman[emoji23]
 
Humjui huyo mtu aisee,bado anawala na atawatafuna wengi humu kwa tamaa zao,last time I checked alikua anakatafuna kadada ka1 hivi ila kama alijiegesha tu
πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€ Duuh jf sitakuacha asee huyu jamaa navyomchukuliaga kumbe ni kitombilo............
 
Mama Facebook alipotelea wapi? Na kidume chake Toboatobo... nilikiwa nacheka sana wanavyo babishana. Lala 1 na stori zake za kuwashushua wenzie... huwa na mashaka sana aliliwa na ..... aah ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…