Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Namkumbuka pia snowball,petra,the boss,huyu bado Yuko jukwaani 🤣that was jf then
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo seriously kama hawapo seriously 😒😂😂😂 Wanaume wenyewe hawa timu kataa ndoa.
😂😂😂😂Yani ni ajabu kwa kweli.Wapo seriously kama hawapo seriously 😒
Napambana kaka pisiii kalii za Jf zikuelewe 😇Dah bora wewe unanijua vizuri. Hawa wananisingizia tuu.
Unazidi mponza,huyo mwache ivoivo mpaka ajifunze kuwa Mdomo uliponza kichwaNapambana kaka pisiii kalii za Jf zikuelewe 😇
😂😂😂Napambana kaka pisiii kalii za Jf zikuelewe 😇
😂😂😂😂😂Unazidi mponza,huyo mwache ivoivo mpaka ajifunze kuwa Mdomo uliponza kichwa
Alaf huyo mdada wa Arusha huyo alitembea tena na yule mwenye anacomment fupifupi zinafanana karibia kila uzi waakambukizana gono.😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁Brock lazima unacheza na nguvu ya Mapenzi🤣🤣🤣
Halafu humu asilimia kubwa Wanao ponda sana Wanawake jf huwa wana Id zaidi ya ile unayo ichukia na wakija pm hawaji na ile 😬Unazidi mponza,huyo mwache ivoivo mpaka ajifunze kuwa Mdomo uliponza kichwa
😕😕Gono tena dada ana balaa huyo 🤣🤣🤣🙌🙌Alaf huyo mdada wa Arusha huyo alitembea tena na yule mwenye anacomment fupifupi zinafanana karibia kila uzi waakambukizana gono.😂😂😂😂😂😂
Sitaki hata hizo pm zao🙄Halafu humu asilimia kubwa Wanao ponda sana Wanawake jf huwa wana Id zaidi ya ile unayo ichukia na wakija pm hawaji na ile 😬
Kubali na wewe uweke kastory kako kazuriii Jf🥰Sitaki hata hizo pm zao🙄
Gono nakwambia.😂😂😂😕😕Gono tena dada ana balaa huyo 🤣🤣🤣🙌🙌
😳Ana gono? 🤸🤸🤸🤸Alaf huyo mdada wa Arusha huyo alitembea tena na yule mwenye anacomment fupifupi zinafanana karibia kila uzi waakambukizana gono.😂😂😂😂😂😂
Muwe mnatuambia tujuage mweeGono nakwambia.😂😂😂
Yani balaa likawa balaa tena.
😂😂😂Mnanitafutia ban mana mods wananiwinda mie jamani😁😁🤣🤣🤣😳Ana gono? 🤸🤸🤸🤸
Ngoja nitafute pesa niwaoe wao😜Kubali na wewe uweke kastory kako kazuriii Jf🥰
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Mnanitafutia ban mana mods wananiwinda mie jamani😁😁🤣🤣🤣
Image mtu alio ambukizwa gono aje kufungua uzi hayo machungu yake mimi ndio maana uzi wa shuhuda au kukandia huwa nacheka kweli najua mtu kapigwa na kitu kizito kichwani 😀Gono nakwambia.😂😂😂
Yani balaa likawa balaa tena.