Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa nipo Arushaaa!!😂😂🏃🏻♀️Wapi sasa uganda au 😁
Kweli kuna uzi watu walikula life ban na uzi kufutwa maana ililetwa picha ya muambukiza wenzie VIviyuuuu😕Hii ya watu na kuambukizana magonjwa ya zinaa humu ni mara ya sita hii naisikia tena itakua kweli 🤭🤣!!
Sijamaliza kusoma koments 🙇
Heee kwa hiyo wewe ndio una SuperG🤪(joker)Kwasasa nipo Arushaaa!!😂😂🏃🏻♀️
Mtoto una balaa wewe nisije nikajikuta nipo R maana kichwa cha chini kimeshaanza kushika uskani 😆Kwasasa nipo Arushaaa!!😂😂🏃🏻♀️
Jf Hatari sana dearr!! Ukijifanya wee ndio unajua kupenda/ kupendwa imekula kwakoo mazimaa!! !Kweli kuna uzi watu walikula life ban na uzi kufutwa maana ililetwa picha ya muambukiza wenzie VIviyuuuu😕
Sasa walifuta kwann wakt jf ni user generated content 😃Kweli kuna uzi watu walikula life ban na uzi kufutwa maana ililetwa picha ya muambukiza wenzie VIviyuuuu😕
@Nuzulati uje kule selfika. Nina jamboHeee kwa hiyo wewe ndio una SuperG[emoji2957](joker)
Yaani ule uzi i wish mtu mwingine afungue yaani atoe ushuhuda vicheche wa humu watoke jasho.Jf Hatari sana dearr!! Ukijifanya wee ndio unajua kupenda/ kupendwa imekula kwakoo mazimaa!! !
ukute shouggaa who knows 🤣🤣🤣🤣😂😂😂!!Heee kwa hiyo wewe ndio una SuperG🤪(joker)
Jambo gani kipenzi huo uzi nimefukuzwa kwa sababu ya uhenga wangu@Nuzulati uje kule selfika. Nina jambo
Watoe jasho ukute wao ndio wanausambaza hahahaaa...!! Yanii ni drama juu ya maigizo!!!Yaani ule uzi i wish mtu mwingine afungue yaani atoe ushuhuda vicheche wa humu watoke jasho.
Sura iliwekwa halafu mtoa ushuhuda aliye ambukizwa alikuwa ana machungu anataja hadi Id nyingine zilizo ambukizwa ukiachana na yeye hapo ndipo balaa lilipo anza😁😁😁Sasa walifuta kwann wakt jf ni user generated content 😃
Jf kweli ni bonge la dude 😆 ni hatari 🔥Sura iliwekwa halafu mtoa ushuhuda aliye ambukizwa alikuwa ana machungu anataja hadi Id nyingine zilizo ambukizwa ukiachana na yeye hapo ndipo balaa lilipo anza😁😁😁
Duh watu walipasuanaSura iliwekwa halafu mtoa ushuhuda aliye ambukizwa alikuwa ana machungu anataja hadi Id nyingine zilizo ambukizwa ukiachana na yeye hapo ndipo balaa lilipo anza[emoji16][emoji16][emoji16]
Ubuyu wenyewe mnautoa nusunusu, umwageni tu hapa wote, njooni na ID zingine ili zikipigwa Ban mnaendelea kama kawa kama dawa.Watoe jasho ukute wao ndio wanausambaza hahahaaa...!! Yanii ni drama juu ya maigizo!!!
Kuna watu wamejitoa muhanga hawapitwi na 🍆inokatiza mbele yao!! Wanaona wamepata kumbe wamepatikanaaa mbwa kala mbwaaaa 😂🤭
Acha niishie hapa bado napenda kula ubuyu humuu miee!!
Sijawahi kuona uzi ulio kuwa na speed kama ule yaani haukufika nusu saa ila Id zile ambazo zilikuwa hazionekani jf kuchangia zilijitokeza yaani uzi ulikimbia kuliko Simba😁😁😁Jf kweli ni bonge la dude 😆 ni hatari 🔥
Hatari mkuuDuh watu walipasuana
Binafsi niliuona ila ikafika mda page zikawa zinaenda mbele zinarudi nyuma nikawa sielewi kumbe baadhi zilikuwa zinafutwa 😄Sijawahi kuona uzi ulio kuwa na speed kama ule yaani haukufika nusu saa ila Id zile ambazo zilikuwa hazionekani jf kuchangia zilijitokeza yaani uzi ulikimbia kuliko Simba😁😁😁