Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums

Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums

Yaani ule uzi i wish mtu mwingine afungue yaani atoe ushuhuda vicheche wa humu watoke jasho.
Watoe jasho ukute wao ndio wanausambaza hahahaaa...!! Yanii ni drama juu ya maigizo!!!
Kuna watu wamejitoa muhanga hawapitwi na 🍆inokatiza mbele yao!! Wanaona wamepata kumbe wamepatikanaaa yani mbwa kala mbwaaaa 😂🤭

Acha niishie hapa bado napenda kula ubuyu humuu miee!!
 
Watoe jasho ukute wao ndio wanausambaza hahahaaa...!! Yanii ni drama juu ya maigizo!!!
Kuna watu wamejitoa muhanga hawapitwi na 🍆inokatiza mbele yao!! Wanaona wamepata kumbe wamepatikanaaa mbwa kala mbwaaaa 😂🤭

Acha niishie hapa bado napenda kula ubuyu humuu miee!!
Ubuyu wenyewe mnautoa nusunusu, umwageni tu hapa wote, njooni na ID zingine ili zikipigwa Ban mnaendelea kama kawa kama dawa.
Ila Lovelovie na To yeye Nuzulati Nawagawa nyinyi warembo 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Sijawahi kuona uzi ulio kuwa na speed kama ule yaani haukufika nusu saa ila Id zile ambazo zilikuwa hazionekani jf kuchangia zilijitokeza yaani uzi ulikimbia kuliko Simba😁😁😁
Binafsi niliuona ila ikafika mda page zikawa zinaenda mbele zinarudi nyuma nikawa sielewi kumbe baadhi zilikuwa zinafutwa 😄
 
Back
Top Bottom