BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Yaani laini namba mbili😳😳😳Haji ni mraibu wa "Kipira" halafu huyo mtoto wala hana tabu..wengine walishindwa kuvumilia..ngoja tuone huyu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani laini namba mbili😳😳😳Haji ni mraibu wa "Kipira" halafu huyo mtoto wala hana tabu..wengine walishindwa kuvumilia..ngoja tuone huyu!
Hakuna maajabu mkuu.Ila yanga wana jezi kali kwa kweli
Wale wa VAR embu zoom hapo kwenye sendo za manara 😁😁😁
[emoji23][emoji23][emoji23]....fala sanaMkitembea anakuwa kama anakuvusha barabara[emoji1]
Chai
Tuseme tu ukweli, couple ya Haji Manara na ZaiyLissa ni couple inayokuwa kwa kasi sana na wakiendelea hivi hivi huenda ndio ikawa couple yenye mvuto zaidi hapa nchini.
Zai na Haji wanapendezana sana sana tena sana yani, na ili couple yao izidi kunoga wanatakiwa waishi hivi hivi bila ndoa.
Haji na Zai wamekutana wote waluwalu /mapepe, Zai bado anajitafuta na anapenda yale maisha ya gharama maana akijicheki kajina kanakua na hana mia nyekundu kuendana na umaarufu unaoendelea kukua kila kukicha Sasa kuwa na mtu kama Haji ni mtu sahihi sana kwake kwa kipindi hiki maana Haji ni hodari mno wa kuhonga na ni mpenda starehe sana ,ila tu ni limbukeni mkubwa wa mapenzi.
Kwa hiyo muunganiko wa hawa wawili utakuwa na nguvu na utavutia ila tu usifikr mpaka hatua ya ndoa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona alishasema anachojali yy n kuongelewa Tu.. hajali n Kwa mazuri au mabayaJamaa anapenda Maisha ya kuongelewa mtandaoni.
Asichokijua ni kwamba anaongelewa kwa mambo ya hovyo.
SEMAJI HONGERA KWA KULA WATOTO WAZURI.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umewaza mbali sana.Ila ka Zaylisa kazuri bana... huwezi kuona wanakasifia....
Ila mm Manara huwa nawaza mdomo wake tuu...hivi watu wanakula mate?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila ka Zaylisa kazuri bana... huwezi kuona wanakasifia....
Ila mm Manara huwa nawaza mdomo wake tuu...hivi watu wanakula mate?
unamiliki pisi kali na huna nguvu za kumbato,hapo lazima wakukimbieManara anaonekana alipata shida sana kumiliki piskali miaka ya nyuma kwahy kwasas anatumia nafas aliyoipata, ni kama diamond anavyo watumia wanawake wengi ni kutokana na kuumuizwa sana enzi hizo hana uwezo wa kumiliki ziliznyooka
😄 🤣 😂 😆 😄 🤣
Haji ni mraibu wa "Kipira" halafu huyo mtoto wala hana tabu..wengine walishindwa kuvumilia..ngoja tuone huyu!
Habari za chinichini inasemekana hivyo jamaa goi goi kitandani.unamiliki pisi kali na huna nguvu za kumbato,hapo lazima wakukimbie
Tigo.kipira ndio kipi hicho?
Habari ndio hiyoHabari za chinichini inasemekana hivyo jamaa goi goi kitandani.
Na hicho kipira je?Habari za chinichini inasemekana hivyo jamaa goi goi kitandani.