Couple ya Manara na ZaiyLissa ni couple yenye mvuto zaidi hapa nchini na ili wadumu hawatakiwi Kuonana

Couple ya Manara na ZaiyLissa ni couple yenye mvuto zaidi hapa nchini na ili wadumu hawatakiwi Kuonana

Anaonekana ni controlling man, utaona wanawake akiwa nao wanafubaa, wakiachana wanapendeza.
Ni wale wanaume wa usivae hiki, usongee na Yule, usiende kule.....halafu na gubu juu.

Wananzengo tulikubaliana aoane na Dida Ili mzani ubalance, ingawa Kwa Zai pia sio mbaya.....Kwa mbaaali inakuja.
Sasa ww umekubali kuolewa na bado unataka ufanye unavotaka ww? Nina uhakika bado haujaolewa na bado ni mtoto mdogo ww.

Yaan nioe alafu avae matambala ambayo me sitaki!! Nioe alafu uende sehem ambayo staki uende!!

Hakuna mwanaume wa hivyo binti na Kama yupo basi hatimizi jukumu la kuwa mwanaume.
 

Tuseme tu ukweli, couple ya Haji Manara na ZaiyLissa ni couple inayokuwa kwa kasi sana na wakiendelea hivi hivi huenda ndio ikawa couple yenye mvuto zaidi hapa nchini.

Zai na Haji wanapendezana sana sana tena sana yani, na ili couple yao izidi kunoga wanatakiwa waishi hivi hivi bila ndoa.

Haji
na Zai wamekutana wote waluwalu /mapepe, Zai bado anajitafuta na anapenda yale maisha ya gharama maana akijicheki kajina kanakua na hana mia nyekundu kuendana na umaarufu unaoendelea kukua kila kukicha Sasa kuwa na mtu kama Haji ni mtu sahihi sana kwake kwa kipindi hiki maana Haji ni hodari mno wa kuhonga na ni mpenda starehe sana ,ila tu ni limbukeni mkubwa wa mapenzi.

Kwa hiyo muunganiko wa hawa wawili utakuwa na nguvu na utavutia ila tu usifikr mpaka hatua ya ndoa.

Couple bora unapima kwa picha za kimahaba wapigzo na rangi ya melanin walizo nazo na si tabia?
Wazazi wangu wamekaa kwenye ndoa mwaka wa 60 huu siyo couple bora, ila hao takataka kwenye media wanao achana na kucheat kila siku ndio bora?
Hao wanao nyonya milk za watoto ndio couple bora?
 

Tuseme tu ukweli, couple ya Haji Manara na ZaiyLissa ni couple inayokuwa kwa kasi sana na wakiendelea hivi hivi huenda ndio ikawa couple yenye mvuto zaidi hapa nchini.

Zai na Haji wanapendezana sana sana tena sana yani, na ili couple yao izidi kunoga wanatakiwa waishi hivi hivi bila ndoa.

Haji
na Zai wamekutana wote waluwalu /mapepe, Zai bado anajitafuta na anapenda yale maisha ya gharama maana akijicheki kajina kanakua na hana mia nyekundu kuendana na umaarufu unaoendelea kukua kila kukicha Sasa kuwa na mtu kama Haji ni mtu sahihi sana kwake kwa kipindi hiki maana Haji ni hodari mno wa kuhonga na ni mpenda starehe sana ,ila tu ni limbukeni mkubwa wa mapenzi.

Kwa hiyo muunganiko wa hawa wawili utakuwa na nguvu na utavutia ila tu usifikr mpaka hatua ya ndoa.

White ndio kakutuma....
 
Hivi Eve hata kama ni wewe utaweza kweli kuishi na Manara kwa mdomo ule mchafu?
Mimi sijawahi kuwaelewa hao wanawake zake.
Mm nimewahi date na albino mwanamke aisee ile Hali yake ilinishinda kbsaa kbsaa duh mwili unateleza Kama nyoka achilia mbali mdomo wake nilishindwa kbsa kumla mate ila papuchi niliichakata inakuwa nyekunduuu[emoji1787][emoji1787]
 

Tuseme tu ukweli, couple ya Haji Manara na ZaiyLissa ni couple inayokuwa kwa kasi sana na wakiendelea hivi hivi huenda ndio ikawa couple yenye mvuto zaidi hapa nchini.

Zai na Haji wanapendezana sana sana tena sana yani, na ili couple yao izidi kunoga wanatakiwa waishi hivi hivi bila ndoa.

Haji
na Zai wamekutana wote waluwalu /mapepe, Zai bado anajitafuta na anapenda yale maisha ya gharama maana akijicheki kajina kanakua na hana mia nyekundu kuendana na umaarufu unaoendelea kukua kila kukicha Sasa kuwa na mtu kama Haji ni mtu sahihi sana kwake kwa kipindi hiki maana Haji ni hodari mno wa kuhonga na ni mpenda starehe sana ,ila tu ni limbukeni mkubwa wa mapenzi.

Kwa hiyo muunganiko wa hawa wawili utakuwa na nguvu na utavutia ila tu usifikr mpaka hatua ya ndoa.

Huyu jamaa kuna stage aliruka kwenye ukuaji wake.
Mtu mzima anahangaika na vidada vya mjini.
 

Tuseme tu ukweli, couple ya Haji Manara na ZaiyLissa ni couple inayokuwa kwa kasi sana na wakiendelea hivi hivi huenda ndio ikawa couple yenye mvuto zaidi hapa nchini.

Zai na Haji wanapendezana sana sana tena sana yani, na ili couple yao izidi kunoga wanatakiwa waishi hivi hivi bila ndoa.

Haji
na Zai wamekutana wote waluwalu /mapepe, Zai bado anajitafuta na anapenda yale maisha ya gharama maana akijicheki kajina kanakua na hana mia nyekundu kuendana na umaarufu unaoendelea kukua kila kukicha Sasa kuwa na mtu kama Haji ni mtu sahihi sana kwake kwa kipindi hiki maana Haji ni hodari mno wa kuhonga na ni mpenda starehe sana ,ila tu ni limbukeni mkubwa wa mapenzi.

Kwa hiyo muunganiko wa hawa wawili utakuwa na nguvu na utavutia ila tu usifikr mpaka hatua ya ndoa.

Watu wanaishi kwa kua public characters of some sort.

Na funny thing is,cizitens reward these fools

I see alot of actors with no movie roles!
 
Back
Top Bottom