Couple ya Manara na ZaiyLissa ni couple yenye mvuto zaidi hapa nchini na ili wadumu hawatakiwi Kuonana

Chai
 
Manara anaonekana alipata shida sana kumiliki piskali miaka ya nyuma kwahy kwasas anatumia nafas aliyoipata, ni kama diamond anavyo watumia wanawake wengi ni kutokana na kuumuizwa sana enzi hizo hana uwezo wa kumiliki ziliznyooka
unamiliki pisi kali na huna nguvu za kumbato,hapo lazima wakukimbie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…