Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
jogoo la kizungu sio tamu...tamu ni lile jeusi kama mpingo!!!
nimeoa na nina watoto na wajukuu...
we jieleze tu.....atakuja leo alikute hilo jeusi kama mpingo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jogoo la kizungu sio tamu...tamu ni lile jeusi kama mpingo!!!
nimeoa na nina watoto na wajukuu...
zubedayo_mchuzi nampenda pia
basi acha kumnenea uongo hubby wangu
afadhali umemuambia...maana naona kashaanza kunimendea...mwambie atafute vijana wenzake sisi wazee shughuli yetu haiwezi...
nitake radhi!!, angalia spelling ! ukikosea spelling na jinsia inabadilika!
umemfanya 'vin' aruke ruke kule alikojificha....
Alaa kumbe..basi nikuachie baba watoto!
Sikumendei wewe nataka unipe huyo mwanao mmoja!nataka damu changa we kikongwe Mi nitakuweza wapi!afadhali umemuambia...maana naona kashaanza kunimendea...mwambie atafute vijana wenzake sisi wazee shughuli yetu haiwezi...
jamani yamekuwa hayo tena!!!!!!!
Mr Rocky eti ni kweli una ndoa 58.......sosi Vin Diesel
Arabela....habari ya wewe bibieahsante my dia
wewe kwanini kuutesa moyo wangu....nitadili na hao wanaokusumbua
unataka lita ngapi nikuuzie...?
He he he..tutaunga na tim yangu ndo itakuwa kamilifu loh....
Mr Rocky hana historia ya kuacha.....