Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Dada.. Kuwa mwangalifu..
kaka naona kama nadanganywa vile.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada.. Kuwa mwangalifu..
Sawa nakumbuka ilisambaratika na sikujua sababu.
Ok nimeiverify C6 usijali ila kwa uncle wangu baaaaaasi
hebu verify yangu na Heaven on earth
Tuko wangapi naomba kujua..........
Tupo Milioni 44 na laki 5...sosi sensa ya Taifa
mi we sikujui
kaka naona kama nadanganywa vile.........
Tuko wangapi naomba kujua..........
ha ha ha ha! lindo la leo litanoga kweli kweli.
Bado hujanipenda, unanitania...
Kubali ku take risk...mi staki ku share na kama haitawezekana ngoja mi niwe nipo nipo kwanza
And this is dedication to you
Chochote Utapata - YouTube
Shem!
Wee nawee! Unawawekea waje wale Mchwa?
Shem staki stress mie...
Sikuumbwa nipate shida sbb ya wengie.
Mungu aliniumba na akasema kila kitu ni chema sana.
Km hawezi ni handle me as me, much better niwe MWANA FA