Teh tehNa ndio mwanzo wa maji ya Tanganyika
Teh teh sio wivu naona unayaporomosha ya chumbani huku....vipi tena mke mwenza? Si ulisema huna wivu?
Teh teh sio wivu naona unayaporomosha ya chumbani huku....
Kwa kweli naona umenogewa mamiihahahaaa my dia mapenzi haya hayana adabu ujuee!
Yani acha tuumumeo naona macho yamemtoka ghafla
KOKUTONA mbona nishakubali muda mrefu sana ni wewe tuu hujasema I do ndo maana nashangaa mpaka leo unasubiri nini aise kusema I doBado hujanipenda, unanitania...
Kubali ku take risk...mi staki ku share na kama haitawezekana ngoja mi niwe nipo nipo kwanza
And this is dedication to you
Chochote Utapata - YouTube
Tangu mpenzi wangu Smile anikimbie hata sijui huku kunaendeleaje!!! mahudhurio yangu yamekuwa hafifu hapa CC, nakuomba Erickb52 kwa cheo chako utusaidie. ila pia wazee Bishanga, Asprin, Mtambuzi, Judgement naombeni msaada wenu tafadhali ili Smile arudi tena, naahidi nitaonekana kwa kutosha hapa CC kama Smile atakubali kunirudia. moja ya sababu zilizomkimibiza ni kitendo cha mimi kubadili jina na kutumia Lucas badala ya smiling saint alilokuwa analipendea. Smile usipende jina penda mtu mama.... zawadi nono itatolewa ka atakayefanikisha kutupatanisha na smile