Couples Verification!

Ndio mana ukawa mwenyekiti
 
chama tatizo lako una maneno mengi kama ahadi za CCM
Bujibuji
Naona unapagawa kwa kutamani vitu vyenye viwango vilivyokuzidi hivi kifaa kama Mamndenyi utakimudu kwa maneno matupu? mkuu mambo ya mchuzi wa vidagaa tena vya chukuchuku Mamndenyi hatumii hata paka wake hali mchuzi wa chukuchuku shauri yako utaishia kuvitolea macho!
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky
Kila siku nakuambia hii game sio saizi hiyo TFDA ndio kitu gani tena? hiyo TFDA ndiyo viwango vyako magumashi matupu unaona sasa game la Mamndenyi limekushinda unataka kujigeuza kuwadi kuwapigia debe wenzio; Mkuu naona umechanganyikiwa sana wewe endelea na hizo bidhaa za TBS Mamndenyi alishaacha kula michicha ya maji machafu ya Tandale anatumia vitu vyenye viwango vya USFDA
 
Last edited by a moderator:

Hahahahahah! Shemeji unataka kuanzisha daftari la kudumu la wanandoa? Au ndo gea ya kumvizia mtu hapa jukwaani ili uwajue wapinzani wako manake shemeji yangu huaminiki, yaani maji kupwa, maji kujaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…