Couples Verification!

Couples Verification!

chama kweli unanipenda, asante sana,
Wape vyao na wakitaka wavimeze au waviteme ni shauri yao.

Mr Rocky
Kama una uhakika na viwango vyako unakuwa huna wasiwasi; viwango vya Chama ni 100% FDA approved; wewe viwango vyako ni vya TBS magumashi matupu sasa hili la wewe kutaka kuingia kichwakichwa kwa Mamndenyi hiyo ni suicide mission ya nini ufe kabla ya wakati kwa kutaka mambo ambayo hulingani nayo? Nakupa ushauri wa bure leo jumapili kamatana mkono na Bujibuji muingie ufukweni Kigamboni mtakamatia vidagaa vilivyopotea njia
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky
Kama una uhakika na viwango vyako unakuwa huna wasiwasi; viwango vya Chama ni 100% FDA approved; wewe viwango vyako ni vya TBS magumashi matupu sasa hili la wewe kutaka kuingia kichwakichwa kwa Mamndenyi hiyo ni suicide mission ya nini ufe kabla ya wakati kwa kutaka mambo ambayo hulingani nayo? Nakupa ushauri wa bure leo jumapili kamatana mkono na Bujibuji muingie ufukweni Kigamboni mtakamatia vidagaa vilivyopotea njia
chama tatizo lako una maneno mengi kama ahadi za CCM
 
Last edited by a moderator:
haiwezekani
ivi ivi?QUOTE=Erickb52;7391078]Hahahahhaaa mahaba[/QUOTE]
 
Mr Rocky
Kama una uhakika na viwango vyako unakuwa huna wasiwasi; viwango vya Chama ni 100% FDA approved; wewe viwango vyako ni vya TBS magumashi matupu sasa hili la wewe kutaka kuingia kichwakichwa kwa Mamndenyi hiyo ni suicide mission ya nini ufe kabla ya wakati kwa kutaka mambo ambayo hulingani nayo? Nakupa ushauri wa bure leo jumapili kamatana mkono na Bujibuji muingie ufukweni Kigamboni mtakamatia vidagaa vilivyopotea njia

Sasa na wewe chama unaongea viwango vya sijui TFDA wakati hao hao ni magumashi matupu
Wanatutangazia alizeti ni feki wakati tunajua washapewa mlungula na mhindi wa korie na oki ili waendelee kuuza mafuta yao
Hakuna afadhali yoyote kati ya TBS na TFDA wote magumashi Mamndenyi hujambo Mtalaka wako wa zamani anakusalimia sana
Ukae salama na unasalimiwa na mke wangu mpendwa Dena Amsi
Halafu KOKUTONA nimekumiss wewe hebu kuja pande hizi unipe kiss
 
Last edited by a moderator:
Sasa na wewe chama unaongea viwango vya sijui TFDA wakati hao hao ni magumashi matupu
Wanatutangazia alizeti ni feki wakati tunajua washapewa mlungula na mhindi wa korie na oki ili waendelee kuuza mafuta yao
Hakuna afadhali yoyote kati ya TBS na TFDA wote magumashi Mamndenyi hujambo Mtalaka wako wa zamani anakusalimia sana
Ukae salama na unasalimiwa na mke wangu mpendwa Dena Amsi
Halafu KOKUTONA nimekumiss wewe hebu kuja pande hizi unipe kiss

Nitumie laki moja basi TIGO PESA beiby
 
mimi umenisahau Erickb52 au ndio mme wangu washamchukua jumlaa!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom