Couples zisizoendana

Hawasemi ila upepo tu utabadilika na thread za malalamiko zitaanza, yani wanaume jamani wanaume sio watu ha ha utadhani wakati anadate nae alikua anadate na jiwe
Hahaha mapenzi mapenzini..
 
Mahonda na Smati

Hii couple imefosiwa kabisa hii, maana wangekuwa wanaendana kama mmoja akili yake fyatu basi mmoja angemtuliza mwenzie, tatizo wote holaaaa kwahiyo wana qualify kuingia kwenye hiyo bracket ya couple zisizoendana.
 

Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…