Salmah99
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 307
- 518
Hahahahaha wakimwagana unafkr watasema.!!Ulimbukeni si kidogo ha ha ha mi nasubiri wamwagane team roho mbaya.....
[HASHTAG]#Teamrohombaya[/HASHTAG]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha wakimwagana unafkr watasema.!!Ulimbukeni si kidogo ha ha ha mi nasubiri wamwagane team roho mbaya.....
Itaje kamandaKuna couple imo humu JF mwanaume anatumia nguvu sana kumlazimisha mwanamke
Hawasemi ila upepo tu utabadilika na thread za malalamiko zitaanza, yani wanaume jamani wanaume sio watu ha ha utadhani wakati anadate nae alikua anadate na jiweHahahahaha wakimwagana unafkr watasema.!!
[HASHTAG]#Teamrohombaya[/HASHTAG]
Akiwataja nistue gea
Itaje kamanda
Hahaha mapenzi mapenzini..Hawasemi ila upepo tu utabadilika na thread za malalamiko zitaanza, yani wanaume jamani wanaume sio watu ha ha utadhani wakati anadate nae alikua anadate na jiwe
Ulimbukeni si kidogo ha ha ha mi nasubiri wamwagane team roho mbaya.....
Hahahhaahahahh uwiiiiiiiSio ile kapo ya cc king cc queen, hawa ni wengine ha ha
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Couple zipo nyingi humu mahondaw wangu... You are my number one my princess... Talk to super dear... Anytime, any place...
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Kuna couple imo humu JF mwanaume anatumia nguvu sana kumlazimisha mwanamke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ushafika
WatajeeeeKuna couple imo humu JF mwanaume anatumia nguvu sana kumlazimisha mwanamke
Nimeshayajua yale mamtu mawili
Mwanamke ndo anafos kingi. Kwakua mwanaume ndo anabidi akusifie sifie na kukutaja taja. Ila demu akikusifia sana ujue ana njaa
1:njaa ya dushe
2:njaa ya hela/tumbo kunguruma/msosi
3:njaa ya ndoa
Sio kwamba anakupenda(ni kwamba imemlazimu tu)