Habari wanajukwaa
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 nilibahatika kumaliza kidato cha 4 mwaka jana lkni bahati mbaya sikufanikiw kufanya vizur kutokan na sababu Mbalimbali(hatanikiwaelezea sababu zenyew haitasidia) lengo la kuleta uzi huu kwenu ni kuomba ushauli course gani naweza kusomea kutokana na matokeo yngu haya
Physics F
Chemistry F
B. Mathematics F
Biology D
Civics D
History D
Geography D
English D
Kiswahili D
Nahitaji ushauli wenu kaka zangu na Dada zangu
ASANTENI
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 nilibahatika kumaliza kidato cha 4 mwaka jana lkni bahati mbaya sikufanikiw kufanya vizur kutokan na sababu Mbalimbali(hatanikiwaelezea sababu zenyew haitasidia) lengo la kuleta uzi huu kwenu ni kuomba ushauli course gani naweza kusomea kutokana na matokeo yngu haya
Physics F
Chemistry F
B. Mathematics F
Biology D
Civics D
History D
Geography D
English D
Kiswahili D
Nahitaji ushauli wenu kaka zangu na Dada zangu
ASANTENI