Course gani naweza kusomea kutokana na matokeo yangu

yah.. anahitaji afanye juhudi... nahisi hata nacte sif zao zitakuwa ni hizihiz maana hii kozi niliijua kupitia dogo fulan wa kitaa alikuwa na matokeo yanayoendana na hayo

alimaliza hapo RUCU mwaka juzi na amebahatika katika ajira zilitoka mwaka huu yupi hospital ya mkoa dodoma
Ajipange maana pia Lab ni ngumu mkuu.
Pia muhimu kufatilia sifa wanazotaka Nacte na sio chuo fulan.
So fatilia zaidi nacte wanataka nin
Kwa uhakika zaidi nenda kafanye application mwenyewe mtandaoni na sio kuambiwa na chuo kuwa watakusajili tuu.
 
Wewe shule imegoma sio kwa matokeo hayo...cha kufanya somea ufundi tu ndo fani yako kwani ukilazmisha uko mbele utafeli tu hasa vyuo vya serikali...plato aliwai kusema kuna aina tatu za watu...gold boys(hawa wnauwezo mkubwa sn katika barain).siliver boys(hawa ni ubongo wa kati )kwa matokeo yako ww ndo unapatikana hapa..so kasomeee ufundi tu..
 
nakushauri asiende afya
pako doro
 
Aisee ai mchezo mkuu,dogo cjui ataiweza hyo kozi mana ashaanza usumbufu.

Na ada zake mkuu kwa sisi watu wa kima cha kawaida tunaweza kuzimudu?
Yani nakusudia 1M kurudi chini au ni zaidi ya hapo mkuu
Ajipange maana pia Lab ni ngumu mkuu.
Pia muhimu kufatilia sifa wanazotaka Nacte na sio chuo fulan.
So fatilia zaidi nacte wanataka nin
Kwa uhakika zaidi nenda kafanye application mwenyewe mtandaoni na sio kuambiwa na chuo kuwa watakusajili tuu.
 
Uwezo wa brain unapimwa na mitihani kwani au?
 
Aisee ai mchezo mkuu,dogo cjui ataiweza hyo kozi mana ashaanza usumbufu.

Na ada zake mkuu kwa sisi watu wa kima cha kawaida tunaweza kuzimudu?
Yani nakusudia 1M kurudi chini au ni zaidi ya hapo mkuu
Ni zaidi ya 1M
 

Hivi unajua uyu aliyeandaa huu uzi alitumia muda kiasi gani usipende kitonga #kajamaa kadogo

hii kwa waelewa only watajua nime maanisha nini #
 
Mkuu najua nimeingilia uzi lakini sio mbaya JF ni yetu wote.

Yeye majibu ameshayapata.
Ni kuwaste time kuanzisha mada nyingine wakati hii ipo mkuu,ni suala la kuchomekea humu humu mada kama hizi mpaka kieleweke.

Ndio maana viongozi wa humu kuna nyuzi wanaziunganisha na zingine zinazohusiana mkuu,usiwe na wasi wasi tupo pamoja mkuu.

JF ni yetu wote.
Simu ni yangu
Uamuzi ni wangu
Uhuru wa kukoment ni wangu.

Asante sana.
Hivi unajua uyu aliyeandaa huu uzi alitumia muda kiasi gani usipende kitonga #kajamaa kadogo

hii kwa waelewa only watajua nime maanisha nini #
 
Lina ukweli jambo hilo,
Pia vyuo vya afya hata 2M inaweza kuzid nikawaida sana.

Ukitaka kujionea wew waulize walio wahi kufanya application watakwambia bei zilivo juu.
Poa mkuu tutapambana kuna boya mmoja alinambia ni 2M nikamuangalia kwa uchungu sana,nikaona nisimjibu chochote
 

ok maisha yaendelee kama unajiona you right #kajamaa kadogo
 
Daah aiseee. Sio mchezo
Alafu 4years sasa 8M uwanja na nyumba juu kwa kule kwetu kusini maeneo flan.

Ila sio kesi bhana wacha tujichange kama ajira sio shida saana hyo sio pesa mingi.
Lina ukweli jambo hilo,
Pia vyuo vya afya hata 2M inaweza kuzid nikawaida sana.

Ukitaka kujionea wew waulize walio wahi kufanya application watakwambia bei zilivo juu.
 
Mkuu mbona sina kosa hapo?
Ndo mana wadau wanachangia uzi huu.

Vinginevyo basi iwe mtu ambaye mchoyo mchoyo asiyetaka kuchangia vitu na wenzie.

Kama post tu hivi jee chakula si kushikana mkono mkuu?

Hii ni kawaida hapa JF mkuu.
ok maisha yaendelee kama unajiona you right #kajamaa kadogo
 
Daah aiseee. Sio mchezo
Alafu 4years sasa 8M uwanja na nyumba juu kwa kule kwetu kusini maeneo flan.

Ila sio kesi bhana wacha tujichange kama ajira sio shida saana hyo sio pesa mingi.
Hiyo kauli ya ajira sio shida futa kabisa.
Tembelea nyuzi zingine utaona watu wanavolaumu swala la uchache wa ajira hadi secta ya afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…