COVAX: Mpango wa Chanjo ya Covid-19 wa Bill Gates na mke wake

COVAX: Mpango wa Chanjo ya Covid-19 wa Bill Gates na mke wake

Kuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.
Mkubwa kumbe sasa hivi nickel ni dili
 
"Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.



Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?
"
 
Mtu anasema "inachukua miaka mitano kutengeneza chanjo' utadhani na yeye ashawahi kutengeneza chanjo yoyote na kuweka hiyo standard..

Rubbish thread.
Afu we si nilionaga siku moja unajiita dokta sijui?

Sina uhakika kama wewe ni dokta. Lakini kama utakuwa dokta basi ni wale madokta malazy goigoi.

Kazi yako kubwa ni kudunga sindano na kupiga manyanga tu.

Hizi habari kubwa za clinical trials na madawa huzijui wewe.
 
Briefly explain that..
Utajulia wapi wewe hizi habari kubwa kuliko kichwa chako.

Ati "briefly explain that"! Hehehe...

Kwanza hicho kizungu unakijua wewe au unataka kujitutumua tu?

Umesoma soma madesa ya Amazon Collage ukajua kudunga sindano unataka kujifanya una akili kubwa kuliko Bilgates na majasusi wenzake!

We vipi bwana!?
 
Afu we si nilionaga siku moja unajiita dokta sijui?

Sina uhakika kama wewe ni dokta. Lakini kama utakuwa dokta basi ni wale madokta malazy goigoi.

Kazi yako kubwa ni kudunga sindano na kupiga manyanga tu.

Hizi habari kubwa za clinical trials na madawa huzijui wewe.
Mkuu unataka kunifundisha nini kuhusu clinical trials?..

Najua dawa/chanjo hadi iingie sokoni ni lazima ipitie phases mbalimbali ili kuchunguza efficacy,side effect +adr,pamoja na kuendelea na post markerting surveillance.

Mtoa mada kasema chanjo ni lazima miaka mitano ndo iingie kutumika..nani kamwambia hivi au nani kasema hivi?..kuna emergency cases na mambo yanaweza kufanyika differently lakini bado efficacy ya kinachotengenezwa ikafikiwa.

Na hakuna sehemu yoyote mimi niliyojiita daktari.
 
Utajulia wapi wewe hizi habari kubwa kuliko kichwa chako.

Ati "briefly explain that"! Hehehe...

Kwanza hicho kizungu unakijua wewe au unataka kujitutumua tu?

Umesoma soma madesa ya Amazon Collage ukajua kudunga sindano unataka kujifanya una akili kubwa kuliko Bilgates na majasusi wenzake!

We vipi bwana!?
Ndio mimi kilaza..elezea sasa hayo madhara yanayoweza kuja miongo na karne zijazo..matusi na porojo hazisaidii chochote..hii ni JF
 
Mkuu unataka kunifundisha nini kuhusu clinical trials?..

Najua dawa hadi iingie sokoni ni lazima ipitie phases mbalimbali ili kuchunguza efficacy,side effect +adr,pamoja na kuendelea na post markerting surveillance.

Mtoa mada kasema chanjo ni lazima miaka mitano ndo iingie kutumika..nani kamwambia hivi au nani kasema hivi?..kuna emergency cases na mambo yanaweza kufanyika differently lakini bado efficacy ya kinachotengenezwa ikafikiwa.

Na hakuna sehemu yoyote mimi niliyojiita daktari.
Wewe unajua hiyo chanjo ina nini ndani?

Have you studied it?

Unajua madhara yake ya muda mfupi na ya muda mrefu?
 
Masalio ya legacy aliotuachia Mwendazake hao. Wanaitwa MATAGA/ Sukuma Gang .
Ni warundi wanaojificha kwenye USUKUMA.
Wamejipanga kumuaharibia bi, mkubwa
Mzee ukianza kuingiza ukabila hapa ni upumbavu usiovumilika. Hivi unadhani tukianza ukabila, wapi watakuwa na faida. Ondoa upumbavu wako hapa mzee.
 
Ndio mimi kilaza..elezea sasa hayo madhara yanayoweza kuja miongo na karne zijazo..matusi na porojo hazisaidii chochote..hii ni JF
Wewe si unajiita dokta?

Unachochea watu wadungwe machanjo ya hovyo hovyo kumbe hauna hata ujuzi wowote wa kidaktari?

Unajitambua?

Unataka kujifanya wewe ni mjuvi kuliko majasusi wa hii dunia?
 
Hizo chanjo zilizotajwa zilitolewa kipindi hao matajiri wana akili timamu[emoji38][emoji38][emoji38] na uoga wa Mungu! Hizi za sahizi wanazotaka kuleta zina mrengo wa kibiashara na maangamizi ya mtu mweusi! Bill gate ni bepari ni devil
Ukiondoa hilo eti marekani taratibu wanatuambia waliochanjwa hawavai mask mwisho watatuambia Corona hakuna marekani
 
Kuna tatizo gani akiwa wana term president??
Hakuna hoja hapa.
Kuna mwamba alitabiri kuwa bibi anaweza kuwa one term prezi nayeye kwahio huenda maandalizi ndio yameanza.
 
Back
Top Bottom