Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoka 11hapo kwenye kutengeneza ya kwetu , wewe umetengeneza nini? Au sisi kama taifa nimewahi kutengeneza dawa gani zaidi ya Ngetwa?
Mkubwa kumbe sasa hivi nickel ni diliKuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.
Masalio ya legacy aliotuachia Mwendazake hao. Wanaitwa MATAGA/ Sukuma Gang .Siku hizi ukiwa na smart phone na bando kisha ukapata access ya kuingia kwenye mitandao ya kijamii basi unakua mtaalamu wa kila kitu!
Haya mambo mapana zaidi ya upeo wa watu wengi, nyinyi mnatazama kesho, kuna wanaume wanatazama decades and centuriesWamuuwe mtu mweusi ili iweje?
Population duniani ndo biashara yenyewe.
Acheni conspiracy za kishamba wazee.
Nafikiri tuanze na Subwoofer pale mjengoni kisha tumalizie na wapambe wake
Briefly explain that..Haya mambo mapana zaidi ya upeo wa watu wengi, nyinyi mnatazama kesho, kuna wanaume wanatazama decades and centuries
Afu we si nilionaga siku moja unajiita dokta sijui?Mtu anasema "inachukua miaka mitano kutengeneza chanjo' utadhani na yeye ashawahi kutengeneza chanjo yoyote na kuweka hiyo standard..
Rubbish thread.
Utajulia wapi wewe hizi habari kubwa kuliko kichwa chako.Briefly explain that..
Tuanze na Bibi Sasha na lile genge linalomzunguka (genge la madaktari na majasusi uchwara).Nafikiri tuanze na Subwoofer pale mjengoni kisha tumalizie na wapambe wake
Mkuu unataka kunifundisha nini kuhusu clinical trials?..Afu we si nilionaga siku moja unajiita dokta sijui?
Sina uhakika kama wewe ni dokta. Lakini kama utakuwa dokta basi ni wale madokta malazy goigoi.
Kazi yako kubwa ni kudunga sindano na kupiga manyanga tu.
Hizi habari kubwa za clinical trials na madawa huzijui wewe.
Kuna mwamba alitabiri kuwa bibi anaweza kuwa one term prezi nayeye kwahio huenda maandalizi ndio yameanza.Tuanze na Bibi Sasha na lile genge linalomzunguka.
Ndio mimi kilaza..elezea sasa hayo madhara yanayoweza kuja miongo na karne zijazo..matusi na porojo hazisaidii chochote..hii ni JFUtajulia wapi wewe hizi habari kubwa kuliko kichwa chako.
Ati "briefly explain that"! Hehehe...
Kwanza hicho kizungu unakijua wewe au unataka kujitutumua tu?
Umesoma soma madesa ya Amazon Collage ukajua kudunga sindano unataka kujifanya una akili kubwa kuliko Bilgates na majasusi wenzake!
We vipi bwana!?
Wewe unajua hiyo chanjo ina nini ndani?Mkuu unataka kunifundisha nini kuhusu clinical trials?..
Najua dawa hadi iingie sokoni ni lazima ipitie phases mbalimbali ili kuchunguza efficacy,side effect +adr,pamoja na kuendelea na post markerting surveillance.
Mtoa mada kasema chanjo ni lazima miaka mitano ndo iingie kutumika..nani kamwambia hivi au nani kasema hivi?..kuna emergency cases na mambo yanaweza kufanyika differently lakini bado efficacy ya kinachotengenezwa ikafikiwa.
Na hakuna sehemu yoyote mimi niliyojiita daktari.
Mzee ukianza kuingiza ukabila hapa ni upumbavu usiovumilika. Hivi unadhani tukianza ukabila, wapi watakuwa na faida. Ondoa upumbavu wako hapa mzee.Masalio ya legacy aliotuachia Mwendazake hao. Wanaitwa MATAGA/ Sukuma Gang .
Ni warundi wanaojificha kwenye USUKUMA.
Wamejipanga kumuaharibia bi, mkubwa
Wewe si unajiita dokta?Ndio mimi kilaza..elezea sasa hayo madhara yanayoweza kuja miongo na karne zijazo..matusi na porojo hazisaidii chochote..hii ni JF
Ukiondoa hilo eti marekani taratibu wanatuambia waliochanjwa hawavai mask mwisho watatuambia Corona hakuna marekaniHizo chanjo zilizotajwa zilitolewa kipindi hao matajiri wana akili timamu[emoji38][emoji38][emoji38] na uoga wa Mungu! Hizi za sahizi wanazotaka kuleta zina mrengo wa kibiashara na maangamizi ya mtu mweusi! Bill gate ni bepari ni devil
Kuna mwamba alitabiri kuwa bibi anaweza kuwa one term prezi nayeye kwahio huenda maandalizi ndio yameanza.