Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #61
Utafiti wa chanjo hizo ulikuwaje!? Hivi unajua huko Naijeria walichanjwa na magonjwa yamekuwa mengi!?Bwana Kivumishi Elekezi, mimi nataka kukuuliza swali.
Wewe hapo umechanjwa Chanjo ya Polio na Surua?
Sasa nijibu maswali yako wakati wewe umekuta swali langu hapo na hutaki kulijibu! Ebo!!!Utafiti wa chanjo hizo ulikuwaje!? Hivi unajua huko Naijeria walichanjwa na magonjwa yamekuwa mengi!?
kwanini wasilete chanjo ebora!?
Mzee miaka ya 1961 population duniani ilikuwaje!? Hiyo miaka walikuwepo mashetani hawa akina Bill Gates!?
Je, hiyo miaka DNA Technology ilikuwaje!? Je, walikuwa wanaikua GNOME ya binadamu kama sasa!?
Jibu maswali yangu.
Mzee kwa habari ya shule wala huwezi hata kunigusa. Cha msingi hapa tunaongelea chanjo ya Bill Gates na Mke wake. Tujikite kuongelea hapo. Mipasho ya akina Khadija Koppa peleka Zanzibar.Unajua kuhusu ukoloni mambo leo au ulikimbia shule?
Inaonesha hajui kuhusu ukoloni mambo leo. Ingia Google tafuta Neo colonialism usome
Upo unabweka tu JF huku umevimbiwa kiporo cha ugali na simu yako ya Itel. Simu yenyewe unatumia Itel unafikiri utakuwa na akili ya kujua ukoloni mamboleo (Neo Colonialism)
Swali gani tena mwanangu!? Unaobgela Surua na Polio!?Sasa nijibu maswali yako wakati wewe umekuta swali hapo na hutaki kulijibu! Ebo!!!
Naunga mkono hoja
Wewe umequote swali langu. Maana yake, mimi ndiye wa kwanza kuuliza.Swali gani tena mwanangu!? Unaobgela Surua na Polio!?
Kwahiyo umesusa kujibu swali langu!?
Kwa mantiki hiyo wewe ni hopeless. Kwenye mjadala tunajadilia usitake ku dictate mjadala eti ujibiwa unavyotaka.
Hapa siyo Nyumbani kwako mzee. Tunajadili kisomi.
Ya kujifukiza ndo tunatengeneza tena ktk level ya familia tu au unajifanyisha kutojua hiloHapo kwenye kutengeneza ya kwetu, wewe umetengeneza nini? Au sisi kama taifa nimewahi kutengeneza dawa gani zaidi ya Ngetwa?
Aliounda chanjo ya Polio na surua mission na vision yake ilikuwa kuokoa maisha ya infants! Hakukuwa na mrengo wa kibiashara katika hilo na waliotekeleza hilo sio akina Bill Gates!C'mon... Usikimbie maswali.
JIBU NILICHOKUULIZA kwa hoja kama unaamini unachokitetea.
Nimekuuliza, kama wazungu wanataka kutuua (kama mlivyoaminishwa), Kwanini wasingetuua kwenye Chanjo ya Polio,Surua,Tb,Homa ya manjano?
Toka tumepata uhuru 1961,Kila mtoto anayezaliwa hapa TZ anachanjwa chanjo ya Polio na Surua(hata wewe ulichanjwa),Kama ni kutuua, kwa nini hawakutuua kwenye hizo chanjo then wakae wasubirie kutuua kwenye chanjo ya corona ya mwaka 2020/2021?
Jibu haya maswali yangu.
Exactly, hivi ndivyo ambavyo nimewajibu alietengeneza hio chanjo lengo lake linajulikana ni kupiga hela so he doesnt give a fvck kama itawadhuru au la! Imeonesha kudhuru watu kwa asilimia 30% anaetaka kuwa scape goat atumie tu as long as siumwi sintotumia ng’oo ntabaki matumbi tu siendi hata kenyawazungu wa sasahivi sio kama wale wa zamani , na ukitaka kujua hawako real hata huyo engineer mwenyewe Billgate kaachana na mkewe, sembue genuinite of the Vaccine , kwa hili napata mashaka kidogo, hapa naanza kuona mwendazake alikua anamachale flani hivi ya kiafrika, sio kila kitu kikija ukubali tu, kama kitu kiko kwenye majaribio kwanini tunakimbilia
Mzee acha udikteta kwenye mijadala. Unapouliza swali usimchagulie mwingine namna ya kukujibu. Huo ni utoto.Wewe umequote swali langu. Maana yake, mimi ndiye wa kwanza kuuliza.
Sasa unaqoute swali langu,badala ya kulijibu hilo swali unauliza swali lako hapohapo halafu unataka mimi nikujibu.
Umeona shida gani kujibu swali langu ambalo ndilo la kwanza kuulizwa? Au unaliogopa?
Pita hivi [emoji117]Mzee acha udikteta kwenye mijadala. Unapouliza swali usimchagulie mwingine namna ya kukujibu. Huo ni utoto.
Maswali mengine yanajibiwa kwa maswali. Wakati mwingine kutaka kujua je unakielewa unachouliza!?
Wakati mwingine unaropoka tu kumbe hujui hata unachouliza.
Ukiweza jibu kama umeshindwa funga domo.
Hata hivyo tunaongelea Chanjo ya bwana Bill Gates na mke wake.
Huna uwezo wa kujadili. Kunywa maji mengi 🤣 🤣 🤣 🤣Pita hivi [emoji117]
Aliyeunda chanjo ya Polio na Surua si mzungu huyohuyo anayetuchukia watu weusi na anataka kutuua?Aliounda chanjo ya Polio na surua mission na vision yake ilikuwa kuokoa maisha ya infants! Hakukuwa na mrengo wa kibiashara katika hilo na waliotekeleza hilo sio akina Bill Gates!
Endelea kutufumbua macho mkuu wangu!! Appriciated for that... Natamani watz wote tuelewe hii issue imekaa kimaslai zaidi!! Afu hapo kwa jeshi ndo wamearibu kabisaaa, thanks mkuuJana hawa watalaamu walitoa ripoti yao.
Niliisikiliza mpaka mwisho. Wenyewe wanajiita wataalamu lakini ripoti yao haikuwa ya kitaalam.
Hawakutueleza uchambuzi wowote kuhusu baada ya mwaka mzima kutokuwa na lockdown na kutokuvaa barakoa hasara zipi tumepata na faida zipi tumepata!?
Wamerukia tu kwenye conclusion na kutoa ushauri kwamba tutumie chajo ya Bill Gates. Bila kupepesa macho kabisa hawa jamaa wamekula pesa ndefu.
Suggestions zilizotolewa ni kupigwa chanjo wanajeshi!? This is serious war. Yaani unapiga chanjo wanajeshi wote!? Ikiwa chanjo hiyo inamadhara maana yake Tanzania haitakuwa na jeshi. This is big risk.
Chanjo huwa zinachukua miaka na kufanyiwa majaribio mengi mno.
Bill Gates ni mfanyabiashara yeye anachoangalia faida.
Kuna madini ya Nickel yaliyopo Kabanga na Simiyu lengo lao watoe hiyo chanjo na wachimbe madini yetu. Kwaajili ya EV na Research kwenda kwenye sayari zingine.
HII HAIKUBALIKI HATA SIKU MOJA SISI RAIA SIYO WAPUMBAVU KIASI HICHO.
Wanataka kutufanya kuwa sehemu ya majaribio kwa manufaa yao ya kifedha.
WATANZANIA TUKATAE CHANJO. TUTENGENEZE YA KWETU.
Na cha ajabu corona imetokea china na kusambaa nchi nyingine ila Sasa hivi tunaambiwa imetengenezwa na mabeberu.Mtu mweusi aangamizwe na nani? Na kwa nini?
Hivi mtu mweusi ni tishio kwa nani duniani mpaka atake kuangamizwa?
Mbona mnakuwa wajinga hivi nyie watu????
Hivi hao wazungu wangetaka kuwaua watu weusi (kama mnavyoaminishwa) walikuwa na haja gani kusubiri chanjo ya korona ya mwaka 2020/2021?
Kama wazungu wangetaka kutuua, kwa nini wasingetuua kwenye chanjo ya Polio (ambayo KILA mtoto hapa Tz amechanjwa,including wewe hapo),Chanjo ya Surua,Chanjo ya Kifua kikuu etc...?
Hebu tumieni akili zenu kureason, Msiwe wapumbavu kiasi hiki