COVAX: Mpango wa Chanjo ya Covid-19 wa Bill Gates na mke wake

Sasa kwanini wasianzwe wanajeshi? SI ndio tunaaminishwa wao ndio Mashujaa wa nchi pamoja kuwa ndio wenye uwezo wa kukabiliana na hatari yoyote?
Mapaka matufali wanavunjiana mwilini sifikiri kama kijishindano cha chanjo kitawaathiri kiivo

Waaznwe wao tu
 
Kuna watu unatamani kuwapopoa mawe haki kweli
Huyo mnamuita sijui flav nani sijui ni mnafiki mkubwa
Hawa ndio walikuwa wakijibebesha wakati wa mwendazake corona haipo nyo ko nyo ko leo wamepata mchongo wako sayansi eti sayansi
Viongozi wa Africa mlilogwa
Sio kila chanjo ni chanjo kuweni makini na hizi chanjo watu watachomwa maji waambiwe ni chanjo
Covax ni chanjo au ni
Leteni chanjo za uhakika sio za majaribio
 
To be frank, wewe jamaa ni mjinga
 
Siku ukila nauli ndo utajua kuwa kumbe hata kwa mguu unaeza fika na gari utaliona kuwa unapoteza hela yako bure
 
Umenena vyema. Yaani Kamati ya COVID 19 inashauri tuanze kuchanja wanajeshi chanjo ya majaribio. Je, chanjo ikienda kombo kwao. Taifa liangamie. Wataalamu wa afya nao wakidhurika NGO zitamalaki kutuletea wa kututibu n.k. Kweli, ndio maana Maprofesa na wasomi wengine wamadhihakiwa siku hizi.
 
Hiyo ripoti ni magumashi tupu haina ushahidi wowote wenye mashiko kufikia uamuzi wa kushauri serikali kujiunga na kampuni ya 'COVAX' ili ifaidike na msaada wa dawa za chanjo dhidi ya UVIKO.

Utajapo jina 'Bill Gates' ambaye siku si nyingi H.Kigwangala alionekana kwenye mtandao amepiga picha akila chakula na huyo tajiri ni dhahiri mkakati ulikuwa wa muda mrefu na wamekula hela ndefu bila kujali athari watakazopata waTanzania.

Bill Gates is a talk of the talks everywhere across the globe, and he knows what he is up to and not humanitarian commitment as it is being propagated.
 
sij
Sijawahi kua na Imani na huyu jamaa anajiita Bill.
 
Sina uhakika kama hiyo ni tume kwa maana uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria. Je, hiyo kamati ilikuwa na mjumbe Jaji ili uamuzi kutokana na walichokifanya kikubalike kisheria. Kama wajumbe walikuwa ni madaktari na wanasiasa kutoka wizara ya mambo ya nje hapo limezalishwa balaa la kufa mtu. Eti umdunge chanjo tata ya UVIKO mwanajeshi, mfanyakazi wa afya, kizembekizembe tu hivyo?

Endapo baada ya tu kupewa chanjo hao wanajeshi waliotajwa, mmoja tu akapata tatizo ambalo wanaaminishwa halitatokea basi wenye dhamana wabebe msalaba sawia kwa kuwajibika
 
Wenye dhamana katika dunia ya sasa ni watu wenye fedha kama Bil Gate na Maraisi wa nchi. Mliobaki hamna thamani
Kama unataka kuona ulichoandika ni upumbavu. Kesho ingia barabarani uandamane uone kitakachokutokea.
Kujadili kuhusu chanjo ya Bil Gate kwangu ni km napoteza muda tu. Hakuna anayekusikiliza.
Mzee kwa habari ya shule wala huwezi hata kunigusa. Cha msingi hapa tunaongelea chanjo ya Bill Gates na Mke wake. Tujikite kuongelea hapo. Mipasho ya akina Khadija Koppa peleka Zanzibar.

Hapa tunaongea serious issue mzee.
 
Kelele huwa zinapigwa na watu wanaotumia simu za Itel. Umekula maharagwe yako sijui ya lini halafu unajiona umetoa uzi wa maana sana tena kwa ID fake.
Ukitaka kuona kama ulichoandika ni kelele, uzi huu u-post Facebook, WhatsApp na Twitter ndiyo uone unavyopiga kelele. Kesho ingia barabarani uandamane. Uone kitakachokutokea.
Mzee mipasho waachie akina khadija koppa.

Usitupigie kelele za akina abber luti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…