COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Naendele a kuweka kambi
 
Mkuu hizi nondo weka kwenye maandishi. Hutalala njaa mjini, hata kama sio leo. Ipo siku zitakuwa lulu kwenye ulimwengu wetu huu ambao mambo hayaishi kubadilika.
 
Mkuu Habibu hongera sana kwa kazi nzuri, nikuombe tu pamoja na kuwa unachelewa sana muendelezo wake sio mbaya labda kwa sababu ya maandalizi na muda wa kuandika.
Sambamba na hilo nina ombi moja tu kwako ya kua hii tafadhari ifikike mwisho na kama unahisi hutaifikisha mwisho kama zile zingine mfano The Other Half, Vipepeo weusi n k basi sema mapema kwamba na hii itakua kama zile zingine.
NAWASILISHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…