COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Dah nakuadd chief... shukrani kwa support
Kama na wewe ni muhenga wa the bold ambae umemuomba since 2018 aku add kwenye tag list but ajaku add basi tuendelee vumilia


But kama sio uyu jamaa mimi nisinge ijua jf...


ww ndo ulie nifanya nijue utamu wa jf...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makala zako ni nzuri sana ila nazifananisha na Ulimbo kwa kaz maalumu. Siamin kama kuna kazi ya bure unafanya kutokana mzee mmoja aliniambia agent anakaz nyingi ila mara nyingi niwatu Wazuri with deep secret. That is why huvutia wakati wote.
 
Back
Top Bottom