Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Us SenateHili jengo mbele kabisa Ni wapi hapo Bold
LEO JIONI BAADA YA IFTAR TUKUTANE HAPA KWA AJILI YA SEHEMU YA NNE.
BE HERE..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Alidondosha sim ikavunjika kioo kashalekebisha fresh leo jioni atashusha vitu.
Sorry Orgach Habibu B. Anga, hii utaimalizia humu au kwenye group? Mana unatupandishaga mizuka afu mwishoni unapotea, sasa kabla sijanogewa zaidi na hii story naomba mwongozo wako.
Jamaa isije ikawa anatumwa na watu wa Noah nyeusi apate namba zetu
Mkuu the bold hatimaye nimefanikiwa kuandika komenti kwe chapisho lako!!!nilipata changamoto sana kujiunga jf!!!
Mkuu Habibu hongera sana kwa kazi nzuri, nikuombe tu pamoja na kuwa unachelewa sana muendelezo wake sio mbaya labda kwa sababu ya maandalizi na muda wa kuandika.
Sambamba na hilo nina ombi moja tu kwako ya kua hii tafadhari ifikike mwisho na kama unahisi hutaifikisha mwisho kama zile zingine mfano The Other Half, Vipepeo weusi n k basi sema mapema kwamba na hii itakua kama zile zingine.
NAWASILISHA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kawaida, the Bold anatutaka twende Whatsapp tukalipie... Makala za Bold tuwe tunasoma vinusu nusu na kuridhika!
Sent using Jamii Forums mobile app