COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Intelligence Ni tamu sana. Binafsi popote pale duniani vyuoni na wafuasi wa diplomasia nawaheshim. So sishangai Federico kujua habari ya Jasusi Hilo..


Làkini kidokezo chako kuhusu sßheikh ponda Ni Hatari ya uchochezi
 
1588770054696.png
 
Nadhani leo baada ya Iftar atarudi na sehem ya tano ( LABDAA )
 
Ni simulizi gani ambayo nimewahi kuanzisha humu alafu sijawahi kuimaliza.
Nimeandika si chini ya simulizi 50 humu jukwaani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Ni simulizi moja tu ambayo niliacha kuimaliza (Ujasusi Sebuleni Kwetu) na ni kwa sababu nilizuiwa na vyombo vyetu..
Sorry Orgach Habibu B. Anga, hii utaimalizia humu au kwenye group? Mana unatupandishaga mizuka afu mwishoni unapotea, sasa kabla sijanogewa zaidi na hii story naomba mwongozo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndani ya miaka mitatu ambayo nimeanzisha group nimepata members zaidi ya 2,500 (total kwa miaka yote).
Hakuna hata mmoja ambaye amewahi hata "kuguswa unywele" kwa sababu ya kuwa na namba yake.
Hao unaowazungumzia wakikutaka watakupata tu kwa namna zao.
Jamaa isije ikawa anatumwa na watu wa Noah nyeusi apate namba zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The Other Half na Season 2 ya Vipepeo Weusi hazikuisha sababu viko kwenye kitabu
Mkuu Habibu hongera sana kwa kazi nzuri, nikuombe tu pamoja na kuwa unachelewa sana muendelezo wake sio mbaya labda kwa sababu ya maandalizi na muda wa kuandika.
Sambamba na hilo nina ombi moja tu kwako ya kua hii tafadhari ifikike mwisho na kama unahisi hutaifikisha mwisho kama zile zingine mfano The Other Half, Vipepeo weusi n k basi sema mapema kwamba na hii itakua kama zile zingine.
NAWASILISHA.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom