Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
-
- #301
Ahaaaaa......kumbeee....basi yule wa wazo la Noah nyeusi huenda akawa sawa. Huko siendi...halafu nitaanza kumdalaha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama na wewe ni muhenga wa the bold ambae umemuomba since 2018 aku add kwenye tag list but ajaku add basi tuendelee vumilia
But kama sio uyu jamaa mimi nisinge ijua jf...
ww ndo ulie nifanya nijue utamu wa jf...
Hayaa hayaa
Blackberry
Nadhani leo baada ya Iftar atarudi na sehem ya tano ( LABDAA )
Baada ya taraweh nitakua hapa jukwaaniLeo Jioni baada ya ya Iftar tukutane hapa kwa ajili ya sehemu ya 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo Jioni baada ya ya Iftar tukutane hapa kwa ajili ya sehemu ya 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiria kuona ivyo mkuu
Mkuu WhatsApp nalipia shilingi ngapi mkuuLeo Jioni baada ya ya Iftar tukutane hapa kwa ajili ya sehemu ya 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Missing you bro..kitambo sana tatizo habibu katukimbia na nondo zakeWelcome Back Brooh! [emoji119]
Longtime Sana.
Hivyo vitabu viko wapi mpwa? Kama havijatoka vitatoka lini mpwaThe Other Half na Season 2 ya Vipepeo Weusi hazikuisha sababu viko kwenye kitabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mr Habibu naweza nikaipata the other half softy copy au kitabu chakoLeo Jioni baada ya ya Iftar tukutane hapa kwa ajili ya sehemu ya 5
Sent using Jamii Forums mobile app
loading..... ... ...