COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Jamii forum imerudi kwenye ubora wake yaani THE BOLD NA MSHANA JR ndo watu wamenifanya nikapendaga JF

Sent using Jamii Forums mobile app
the bold ndio mtu pekee alieniingiza JF nilikuwa napita kama guest kitambo tu Ikabidi ni signed in kwa sababu ya huyu mwamba the real definition of the Great thinker
 
nakubali kamanda 🙏
 
Ana bla bla nyingi ,hawa ni kama wale walimu akiingia darasani anaandika topic ,mda wa bla bla dk 50 wa kufundisha dk 10
Unabore sana maelezo mengi hueleweki hata unataka stori iwe ndefu kuna mdau hapaaa Mizani kaandika shortcut flani lakini kaeleweka mi kuanzia leo sisomi story zako ubabaishaji ni mwingi

MONEY STOP NONSENSE
 
Hongera mkuu! Ila unatuweka sana tunapoteza connectivity, Allah akupe wepesi Inshaalah uendelee kushusha nondo hizi nzito.
 

Hizi NDIZO NONDO SASA UNAENDA MOJAKWA MOJA KWENYE POINT... arafu sijaonaa jamaa anakujibu hapa... mpaka sasa atujui tunasoma nini mara wuhan mara sijui nini
 
Safi sana mkuu tunajifunza mengi sana kutoka kwako... Makala zako hua Zina concepts mbalimbali Kama zingua topic ya hesabu basi ni MAGAZIJUTO (BODMAS)
 
Hii story, msimuliaji ana mambo mengi kichwani anataka kutueleza ila anashindwa kuyaconect... heading ni covid& and deep state ndani kuna story nyingi ambazo hazifiki mwisho na zinakosa connection kabisa
mm imenishinda nasubiri baadae summary
 
Nimekua msomaji wa makala za The Bold kwa mwaka wa 5 sasa. To be honest hapa kibongo bongo sijaona mwandishi kama The bold(au labda kwa sababu ya usomaji wangu duni wa kazi za watz). Ila brother habib siku hizi naona kama story zako zinakosa udambwiudambwi fulani ivi ulikuoepo enzi zile. Sio kwamba ni mbaya ila kuna ladha fulani inapotea kwa wasomaji wako wa muda watakubaliana na mimi.
You're still one of my fav writers mitaa hii ila check your style mkuu.
Msalimie cheupe
 
Siku hizi ameanza kupotea just imagine mada ni covid Wuhan lakini yeye mpaka story za ugaidi wa balozi za dar es salaam ,mara mambo ya masai wa morogoro ,anatoka hapa anarukia kwingine ndani ya story ile ile moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…