Kuna mambo ambayo ni complex huwezi kuyaelezea kirahisi lazima uchimbe deep ili uweze kueleweka watu wenye vichwa vya nyoka vyenye IQ ndogo kama chako si rahisi kumuelewa maandishi.Napendekeza urudi kwenye thread ya saizi yako ile ya kula tunda kimasihara.
safi sana the bold
nimependa jinsi ambavyo unavyoweza kukabiliana na changamoto zamaneno ya watu nakuendelea kufanya kazi yako bila ya kutetereka
daahh waandishi mnakazi sana YAANI MTU BUNDLE LAKO. SIMULIZI YAKO BUT still baadhi ya hadhira wanakukashifu nakukutana 😏😏😏
utadhani wana kuchangia bundle au walikusomesha
Mkuu hivi unajua notice zote ulizosoma katika mapito yako yote ya elimu ni summary ya vitabu vya watu?Unasoma vitabu mbalimbali unaweka na mawazo yako kiasi unachanganya stories nusu nusu kqa kadiri unavyosoma na kutafsiri. Story haipo direct chai nyingi sana ili iwe ndefu. Ukimaliza chini weka sources zako maana usiandike kama vile wewe ulihusika au ulikuwepo kwenye haya matukio.mnapoandika mada humu ndani muwe mnakumbuka na sisi tupo siyo kwamba wote ni vilaza hawajielewi kama i avyoonekana kwenye comments za wengi.
Mtu kama huyo ana kichwa kigumu unadhani anaweza kukuelewaMkuu hivi unajua notice zote ulizosoma katika mapito yako yote ya elimu ni summary ya vitabu vya watu?
Kwakweli muandishi amezingua sana. zaid ya wiki 2 mwanzoni mwahii makala kunasehem alirukia kuhusu tukio lilitokea iraq akatuambia tukariri wahusika wahilo tukio kina raymond, fahad na faheem lakin nahis ata yeye niamesahau kua alisema tukarir hao wahusika manake haku waongelea tenaMtu kama huyo ana kichwa kigumu unadhani anaweza kukuelewa
[emoji28][emoji23]Ukiona kitabu hukielewi ujue wewe sio mlengwa
Kwani makala imeisha buddah? We endelea kushikilia hayo majina, pengine ndo karata yako ya ushindi😃😃😃😃.Kwakweli muandishi amezingua sana. zaid ya wiki 2 mwanzoni mwahii makala kunasehem alirukia kuhusu tukio lilitokea iraq akatuambia tukariri wahusika wahilo tukio kina raymond, fahad na faheem lakin nahis ata yeye niamesahau kua alisema tukarir hao wahusika manake haku waongelea tena
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1]mpaka sasa nishasahau tumetoka wapi.
anyway tuendelee kusubiri huwenda mbeleni mambo yatakaa sawa.
Yaan hiki ni *KIDOKEZO* tu kma alivosema ila tumefikshwa huku. Tumezunguka Marekani kwa CIA, NSA na idara zote zaulinzi, tumpita mashariki yakati yote mpaka morogoro tumefikaKwani makala imeisha buddah? We endelea kushikilia hayo majina, pengine ndo karata yako ya ushindi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
Ila mwana ungekuwa unatumia uwezo wako wa kukariri vizuri pengine ungeweza kuleta story kali hapa pengine kuliko hata hizi za Habibu B. Anga. Bado unakumbuka hayo majina???
Mi ningekuwa habibu ningeacha kuleta story humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah!! Nishazoea kawaida... mwaka wa tano huu
Ukiona nyani zee, linajua kuhepa mishale lol
Sent using Jamii Forums mobile app