COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Hiyo tunda kula masihara umejuaje ,wewe ndo bongo lala hata matope unalishwe,kiazi ww
 

Hahaha, kwani tumemtuma alete huku?
 
Mkuu hivi unajua notice zote ulizosoma katika mapito yako yote ya elimu ni summary ya vitabu vya watu?
 
Hapo mkuu bold umeushangaza umma kubadilisha mtiririko wa story, kisa vilaza wachache wanalialia, mbona tunaielewa vizuri story,umeamua kuwafurahisha vilaza huku sisi tunaoelewa ukituacha kwenye oblivion,hanna mtu amelazimishwa kusoma hii makala kwahiyo kama haelewi aende kusoma thread ya kula tunda kimasihara maana ndio thread ya uwezo wake wa kufikiri.
 
Mtu kama huyo ana kichwa kigumu unadhani anaweza kukuelewa
Kwakweli muandishi amezingua sana. zaid ya wiki 2 mwanzoni mwahii makala kunasehem alirukia kuhusu tukio lilitokea iraq akatuambia tukariri wahusika wahilo tukio kina raymond, fahad na faheem lakin nahis ata yeye niamesahau kua alisema tukarir hao wahusika manake haku waongelea tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani makala imeisha buddah? We endelea kushikilia hayo majina, pengine ndo karata yako ya ushindi😃😃😃😃.

Ila mwana ungekuwa unatumia uwezo wako wa kukariri vizuri pengine ungeweza kuleta story kali hapa pengine kuliko hata hizi za Habibu B. Anga. Bado unakumbuka hayo majina???
 
Mkuu hata youtube watu wakipost contents zao huwa wanapata likes na dislikes pia.

Hiko ni kitu cha kawaida sana.

Ukiitenganisha COVID-19 na DEEP STATE haitakuwa na ule uhalisia wa huu ugonjwa.
@uUnforgetable

[emoji2021]Manners Maketh Man[emoji2021]
 
Yaan hiki ni *KIDOKEZO* tu kma alivosema ila tumefikshwa huku. Tumezunguka Marekani kwa CIA, NSA na idara zote zaulinzi, tumpita mashariki yakati yote mpaka morogoro tumefika

Jamaa ametuchoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…