COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Finally vichwa panzi wametualibia uzi 😒

Ooooh hatuelewi ooooh unazunguka mbuyu wanashindwa kusoma kichwa apo kinahusu deep state inavyo husika na kuenea kwa covid 19

Sema nn anko The bold umezingua kutulisha ugal bila mboga tushibe haraka kisa vichwa panzi wachache
 

Acheni kupenda vya bure, jiungeni WhatsApp mchangie kidogo, siyo mnaleta mboyoyo kutaka dezo.
 

jiunge group lake wasap upate kumaliziwa yote
 
Hao wanao itwa vichwa Panzi kiukweli kabisa hawapaswi kuitwa hivyo, tuwatafutie tu jina. Kwasababu hata panzi pia anatumia akili
 
Binafsi namwelewa sana The bold toka mwaka 2014 kwenye sakata la mchungaji mmoja, aliutendea haki uandishi wake.
Siwashangai sana wanaosema hawamwelewi kwa sababu hili jukwaa ni kawaida kuwa na mambo magumu mno.
 
Na huwa wanaweka references. Unajua hilo Mkuu? Hawafanyi kama ni zao hiyo tunaita plagiarism. Jamaa anachofanya ni kama anasimulia riwaya ingawa kiuahalisia anataka pia ionekane ni habari ya kweli kabisa.sasa anakuwa katikati.mwishowe anajikuta kama naye ni mhusika anasimulia mambo ambayo ameshiriki kabisa.hapo ndo anapodanganya umma wa wanajamiiforums wanaojitambua.wale vilaza wao hawahangaiki kutafakari.wanasema tu hadithi njoo uongo njoo...utamu kolea.

Mkuu hivi unajua notice zote ulizosoma katika mapito yako yote ya elimu ni summary ya vitabu vya watu?
 
Wewe ni mkewe?sasa kama umemkubali mume mmoja unataka unikubali na mimi ili iweje?mimi sihitaji kupiga hela kwa kuwadanganya vilaza.mi nawaelimisha bure.umaarufu wangu ni mkubwa nje ya Jamiiforums kwa jina langu halisi.humu naburudika na kuelimisha watu.

Wajinga siku zote ndio waliwao.kama unavyojitanabaisha hapa.unaliwa kila sehemu kwa ubwege wako....namsaidia mwandishi asidhani humu mmejaa nyie tu vilaza.baadaye anawaunga kwenye group anawatoza pesa....😁😁😁😁 Na mnaliwa kimapenzi pia.

Write your reply...mkuu Chizi Maarifa usitafute umaarufu kwa kumpinga jamaa,shusha nondo za maana tutakukubali na utakuwa maarufu na utaipiga hela, acha majungu Fanya kilicho bora umaarufu utakufuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…