Hii ni kama kitimoto kabisa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu naamini hauwezi kulose focus,utaturudisha kwenye main point maana tumetoka Wuhan,tumeenda Pakistan na sasa tupo Iraq.[emoji16]
Ngoja nikale lunch kwanza, nitarudi.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Unforgetable
Master of Narration huyoHuyu jamaa namkubali vilivyo, usisahau kutuambia itaendelea page gani ukiwa una update
Mkuu naomba ukiweka sehemu ya 3 usisahau kuni tag!
Master of Narration huyo
Anatumia details ndogo ndogo sana ambazo kwa udogo wake huwezitambua kwa haraka zina maana gani
Then anazi combine kukupa kitu awesome
Ndo watu pekee wanao maintain hadhi na nature ya JF
Huyo ndio Habibu Anga [emoji16]Mkuu naamini hauwezi kulose focus,utaturudisha kwenye main point maana tumetoka Wuhan,tumeenda Pakistan na sasa tupo Iraq.[emoji16]
Mkuu naamini hauwezi kulose focus,utaturudisha kwenye main point maana tumetoka Wuhan,tumeenda Pakistan na sasa tupo Iraq.[emoji16]