COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Yeah! Kila nikifungua jf nakimbilia intelligence forums kwa7bb ya huyu jamaa na wengine wanao chuana nae
Master of Narration huyo
Anatumia details ndogo ndogo sana ambazo kwa udogo wake huwezitambua kwa haraka zina maana gani
Then anazi combine kukupa kitu awesome

Ndo watu pekee wanao maintain hadhi na nature ya JF
 
Mkuu naamini hauwezi kulose focus,utaturudisha kwenye main point maana tumetoka Wuhan,tumeenda Pakistan na sasa tupo Iraq.[emoji16]

Lengo siyo kupoteza focus, ni kuifanya story ionekane interesting halafu itamaliziwa kule kwenye group letu la WhatsApp.

Mara nyingi mtu anapoelezea kitu ambacho hakiungani na maelezo anatumia mifano mingi sana.
 
Back
Top Bottom