COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Hii story, msimuliaji ana mambo mengi kichwani anataka kutueleza ila anashindwa kuyaconect... heading ni covid& and deep state ndani kuna story nyingi ambazo hazifiki mwisho na zinakosa connection kabisa
puzzle kawaida inakua na vipande vingi vingi ambavyo inapaswa uviunganishe ili upate picha halisi kusudiwa......

nadhani ndicho anachofanya Habibu hapa, anajaribu kuviunganisha vifungu hivi vyote ili baadae atakapokuja kukupa kile alichokusudia unapata picha clear!

mimi ndio mana huwa niko makini sana kumsikiliza kichaa trump,..... anaropoka vingi sana ambavyo wengi wanamwona hajui kuongoza kumbe anaelewa kuliko sisi!
 
Back
Top Bottom