COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Kikubwa mkuu usikate tamaa maana unatumia eneji kutupatia vitu Kama hivi, halafu hatukulishi, hatu kuogeshi wala kukupikia
Achana na Hawa wenye challenge kwenye nyuzi zako, sisi tunajua wewe ndio mwongoza njia japo Kuwa kuna wengine wafuata njia ukikosea mpaka matusi uta tukanwa ,na vya kwao hatuvioni japo wana JUAAAAA SANAAAAAAAA mpaka miaka.
Keep it up pambana na nyuzi hii tutoboe mawingu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani humjui vizuri mleta uzi muda sio mrefu atakukera tu hata wewe kumvumilia ni ngumu sana vinginevyo ukaingie kwenye whatsapp japo nakwenyewe huwa anakera vile vile japo sio kama humu.
 
Back
Top Bottom