COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Sasa nafanyaje hapo au ukisubiri unafunguka?
Uzi huu ni mzito kufunguka kuliko nyuzi zingine sababu una idadi kubwa sana ya watu ambao wamekuwa 'tagged'. Unapomtag mtu ili aje kusoma uzi ina maana jina lake litahakikiwa kama limo kwenye list ya users wa JF, hivyo kuchukua muda ku-load page. So wazee wa nitag wapunguze kimbelembele. Au anayetaka kuwa tagged atume buku kwa The Bold kwa kila stori.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habib anawaweza sana watu wa humu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu mtu ana group mnategemea atamaliza stori humu

Mimi nilishamjua mauzo yakishuka kwenye group anakuja kuchota member humu

Hawezi kumaliza stori ever

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kamalizaga nyingi tu zile za vitabu ndo ajamalizia uku

Wait and see atamalizia tu...
 
Back
Top Bottom