T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi huu ni mzito kufunguka kuliko nyuzi zingine sababu una idadi kubwa sana ya watu ambao wamekuwa 'tagged'. Unapomtag mtu ili aje kusoma uzi ina maana jina lake litahakikiwa kama limo kwenye list ya users wa JF, hivyo kuchukua muda ku-load page. So wazee wa nitag wapunguze kimbelembele. Au anayetaka kuwa tagged atume buku kwa The Bold kwa kila stori.
Mura tusikane go saigha, uche ototebhi kebhore owansere komberekera iga omoremboWazo zuri mrembo
Kana kumbe nu umukurya ule tataMura tusikane go saigha, uche ototebhi kebhore owansere komberekera iga omorembo
Numukurya nde omoito, lakini ikina keno mbaka kiyi go saighaKana kumbe nu umukurya ule tata
Kwani hii nafasi inahitajika na wengi au mimi ndio sijakuelewaUnatunyanyasa sana....ipo siku hy nafasi yako itatwaliwa na mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kusubiri tu.
Umetokea wapi?Habar bro, mim mgeni humu nimeona umeandika sehem ya sita lkn si
on muendelezo.
Dah yaani wewe jamaa unavyolalamika dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unatunyanyasa sana....ipo siku hy nafasi yako itatwaliwa na mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatunyanyasa sana....ipo siku hy nafasi yako itatwaliwa na mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatia aibu.
Wewe unashindwa nini kusoma na kuleta story humu?
Mbona kamalizaga nyingi tu zile za vitabu ndo ajamalizia ukuHabib anawaweza sana watu wa humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu mtu ana group mnategemea atamaliza stori humu
Mimi nilishamjua mauzo yakishuka kwenye group anakuja kuchota member humu
Hawezi kumaliza stori ever
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujui ni kwanini wanalalamika au itakuwa kapotea!?Kapotea tena kwani?