COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Huyu jamaa bwana hizi vitu anazoandika huwa zinatufundisha mambo mengi sema tu anakuwa na kiherehere cha kuziweka humu jukwaani kabla ya kuandaa epside zote
 
Huyu atakuwa ni kada wa Ccm blaa blaa nyingi hana lolote anataka tukajiunge ktk group lake.hizi ni tabia za ki Ccm
Sehemu ya saba vipi tena ipo ndani ya group au
isije kuwa watu sasa hivi wapo sehemu ya kumi na tano huku tunasubiri sehemu ya saba.
 
Anaboa sana, mara alete ishu ambazo hata hazihusiana na storry. Sifatlii tena mana hakawihi kuachia njiani
 
Huyo jamaa ni mzee wa kucopy na kupaste ila anamodify kidogo,yeye anachofanya ni kutafsiri halafu anakuwa na mwendelezo mbovu anarukia rukia tu kuonyesha hajacopy
Mkuu dunia hii kuna kitu kipya? Ww kama hujapenda stor zake kuna kitufe cha dislike.
 
Back
Top Bottom