Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kumbukumbu yangu ipo vizuri,mara ya mwisho huyu bwana aliaga anaenda kwenye iftar
Tatizo mnapenda kutafuniwa na hamtaki kutoa chochote.
Tumeshawaambia njoeni kwenye group hamtaki, sasa kuleni jeuri yenu.
Sehemu ya saba vipi tena ipo ndani ya group auHuyu atakuwa ni kada wa Ccm blaa blaa nyingi hana lolote anataka tukajiunge ktk group lake.hizi ni tabia za ki Ccm
Hatuna muda huo.Akija kutupia mniite
Kwanini sasa mlikuja kuandika JF kama mnawaita watu whatsapp nye ,wapuuzi kweli
Mkuu dunia hii kuna kitu kipya? Ww kama hujapenda stor zake kuna kitufe cha dislike.Huyo jamaa ni mzee wa kucopy na kupaste ila anamodify kidogo,yeye anachofanya ni kutafsiri halafu anakuwa na mwendelezo mbovu anarukia rukia tu kuonyesha hajacopy
sawa mkuu,sasa kama upo online kwa ID hii kwanini usiweke mwendelezo au anapima upepo kwanzaIli kuwaonjesha.
Mkuu siwez kua na ID mbii, mm ni mm na yy ni yy.sawa mkuu,sasa kama upo online kwa ID hii kwanini usiweke mwendelezo au anapima upepo kwanza
sawa mkuu,sasa kama upo online kwa ID hii kwanini usiweke mwendelezo au anapima upepo kwanza
HahahahaKama kumbukumbu yangu ipo vizuri,mara ya mwisho huyu bwana aliaga anaenda kwenye iftar
HahahahItakuwa bado yuko huko, kwani masaa mawili yameisha?
Yuko kimya sana nahisi atakuwa ni miongoni mwa waandamanaji Kule USA