Boanerge
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 686
- 180
HahahhahahaEbwanaeeh! Habibu akitupia lazima utasoma tu hata kama hutaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahhahahaEbwanaeeh! Habibu akitupia lazima utasoma tu hata kama hutaki
Tuweke ratiba kuanzia sasa... nitakuwa nawajuza next "Episode" nitaweka lini na muda gani...
Hivyo basi,
SEHEMU YA 12 itakuwa hapa siku ya jumapili (Kesho kutwa) saa nane mchana.
Asante
Ukitaka kufanya hivyo fanya hivi...Sehemu zinazofuata zahitaji vielelezo vingi vya picha...
Uzee unanisumbua, nashindwa kuweka picha katikati ya post.
Nitapost na kufuta futa (najaribu). Ikikaa ninavyotaka itabaki hapo.
Bear with me..
Mkuu huu uandishi miaka ya zamani kdogo ulikua haupo JF, miaka ya karibuni uandishi huu ukavamia JF kwa kasi sana!Mkuu siwez kua na ID mbii, mm ni mm na yy ni yy.
Pia hatuwez kujua mwazetu amepatwa na nn kuna maisha nje ya jf so lzm tuwe wavumilivu.
Huelweki hata umepinga nini,He was fired yes.so what?.Hiyo quote hakuisema yeye ama?..Kuandika kitabu ni maamuzi ya mtu na haimfanyi asiwe nguli...Ingawa unalekea kua mwandishi mzuri baadhi ya maelezo yako Kuhusu James Angleton CIA officer 1954-1974 au 75 sio sahihi na mfano wako unaompimanisha Abu Omar (Fugitive extremist) na Sheikh Ponda (Social Justice Advocate), unampoteza msomaji na kumpandia mbegu ya fitna Mtanzania mwenzetu. It is a known as a faulty comparison. Nitaanza na James Angleton na kisha kuonyesha dalili ya false comparison Kati ya Abu Omar na Sheikh Ponda.
Ingawa huandiki source zako, umemsifia kwa kiasi jasusi wa CIA James Jesus Angleton. Lakini, inashangaza kwanini hajaandika kitabu Kama manguli wengine.
Ukweli ni kwamba kulingana na rekodi zilizo public (Yani sio classified). James alifukuzwa kazi (fired)
Trump huwa anajua nini anafanya,..puzzle kawaida inakua na vipande vingi vingi ambavyo inapaswa uviunganishe ili upate picha halisi kusudiwa......
nadhani ndicho anachofanya Habibu hapa, anajaribu kuviunganisha vifungu hivi vyote ili baadae atakapokuja kukupa kile alichokusudia unapata picha clear!
mimi ndio mana huwa niko makini sana kumsikiliza kichaa trump,..... anaropoka vingi sana ambavyo wengi wanamwona hajui kuongoza kumbe anaelewa kuliko sisi!
Hajazoea kuangalia movie za kutishaMbona Hillary kama anaogopa ?
Sawa mkuu nitabadilikaMkuu huu uandishi miaka ya zamani kdogo ulikua haupo JF, miaka ya karibuni uandishi huu ukavamia JF kwa kasi sana!
Bahati nzuri kwenye majukwaa ya "intelijensi" na "great thinkers", jukwaa la dini na jukwaa la biashara haukuwepo kabisa.
Leo nimeshangaa na kusikitika sana kukutana na huu uandindishi kwenye JUKWAA LA INTELIJENSIA.
Wewe mbona hujaenda huko? Kuwa mwana ccm siyo justification ya kuwa mjinga.Wewe ndio uhuelewi tulishasema humu hili ni jukwaa la Inteligence, my friend kama hufit nenda zako MMU basi.
Hii ni Mara yangu ya kwanza kusoma andiko lako upo vizuri mkuu hongera
LEO SAA 8 MCHANA EPISODE YA 12
BE HERE..
LEO SAA 8 MCHANA EPISODE YA 12
BE HERE..