COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

It might be..

There must a hidden political agenda over the on going 12th straight day protesting against police brutality..[emoji848]

Even american knows; see the attached pic with comment on Deep State..

Hii comment nimekutana nayo leo nikiwa naperuse news Dailymail..

Huyu jamaa akitoboa November ni bahati sana.

US Top profiled politicians wemshaanza kuonyesha mwelekeo wao kuwa hawatamuunga mkono Trump..kama Bush, kina Romney, Obama .

Sasa jiulize Republican kama Bush wanamgeuga jamaa [emoji23][emoji23] Tena katika kipindi hiki yaani ..

Mzee wa Ku~Tweet ana kazi sana [emoji23]
Loh chief umenitonesha kidonda...


Nilikuwa nawachambulia Wapwa zangu hawa kwa undani namna gani Deep State ina-oparate lakini kuna waungwana wakaanza kulalama kwamba nawachanganya hawaelewi niende moja kwa moja nieleze kuhusu Wuhan.
Ikabidi nikatishe uhondo niwaeleze hiyo Wuhan kama unavyoona hapo.

Wangeniacha tungenufaika sana na mjadala wa Deep State.

Kama ni mfuatiliaji wa mambo kuna masuala kadhaa utakuwa umetagundua.
Suala la Covid-19 haliongelewi tena. Ghafla tu hakuna anayezungumzia 'social distancing' wala kuvaa mask... badala yake watu wale wale ambao walikuwa wanahamasisha watu wakae ndani ndio hao hao ambao wanahamasisha watu wakaandamane badala ya kufanya 'social distancing'.

Do you think its a coincidence?? No no no... kuna viti kwenye hii dunia vinatokea tunadhani ni bahati mbaya ila kiuhalisia viko planned careful and meticulously.

Hawa wapwa zangu wangeniacha nichambue kuhusu Deep State kisha niingie huku kwenye Corona tungeelewa kwa wepesi sana hata maana ya haya maandamano makubwa ambayo yanaendelea kwenye za magharibi.


Ila kama ambavyo nimeahidi... nikimaliza hii ya Covid-19 nitaanza Deep State kwa wale wenye misuli ya kusoma vitu vigumu.
20200607_115622.jpeg
 
DEEP STATE, COVID-19: Nini Maana ya Uhandisi Jaamii Unaotokea Duniani?





# 12


Kwa nini hakukuwa na 'flow' ya shughuli za kwaida ndani ya kituo cha Wuhan Institute of Virology.
Kwa nini kwenye barabara ambazo zilikuwa zinapita karibu na kituo cha WIV ghafla mwanzoni mwa mwezi octoba zikafungwa?


Mara ya mwisho nikaeleza kwamba baada ya kuona viashiria hivi viwili mwanzoni mwa Octoba ambavyo vilikuwa vinatia shaka vilipelekea taasisis ya MACE chini ya Sierra Nevada kufanya uchunguzi mwingine makini zaidi ambao uliwafumbua macho kwa upana zaidi.


Pale Marekani mwaka 2007 walitambulisha mfumo mpya kwenye Sekta ya afya unaoitwa UDI (Unique Device Identification System).
Mfumo huu umewekwa makusudi ili kuweza kukitambua kila kifaa cha afya kwa upekee wake. Kwamba kama kampuni inatengeneza aina fulani ya vifaa vya afya, haitoshi tu kuvitambua vifaa hivyo kwa ujumla wa usajili wake bali kifaa kimoja kimoja chapaswa kiweze kutambuliwa kwa upekee wake.

Yaani kwa mfano Samsung wanatengeneza Galaxy S20 Ultra. Tuseme kwamba kuna utaratibu wa wao kusajiri bidhaa yao hii mpya (Galaxy S20 Ultra) kama mambo ya Patent na kadhalika.
Lakini hiyo tu peke yake haitoshi, mimi nikiwa na simu hiyo hiyo S20 Ultra na wewe ukiwa nayo, japo simu zote mbili zinafanana kila kitu kwa asilimia mia moja na zinafantabkazi sawa kabisa lakini bado tunaweza kuzitofautisha kwa IMEI namba zake.
Yaani zinafanana kwa kila kitu kwa asilimia mia moja lakini bado twaweza kuzitofautisha kwa utaratibu huo.

Ndivyo hivyo pia utaratibu huu wa UDI unataka watengenezaji wa vifaa vya afya licha ya kusajili bidhaa zao kwa ujumla wake lakini ni lazima kila bidhaa moja moja, 'individually' iweze kutambulika kwa upekee wake.
Kwamba kwa mfano kama kampuni inatengeneza ventilators… kuwepo na uwezo wa kuitambua na kuzitofautisha ventilator iliyopo Muhimbili na iliyopo Amana japo zinafanana kwa kila kitu kwa asilimia mia moja na zinafanya kazi ya kufanana.

Utaratibu huu uliwekwa kwa sababu kadhaa muhimu lakini hasa ni kulinda afya za wagonjwa katika matumizi mahususi kabisa kwa kupima 'perfomance' ya kifaa kimoja kimoja kwa upekee.
Lakini nimegusia suala hili sababu kutokana na utaratibu huu pia umetoa wa mwanya wa kila kifaa kwa upekee wake unaweza 'kuki-track' mwenendo wake wote kutoka mahala kokote ulipo.
Utaratibu huu pia haukuishia Marekani tu bali April mwaka 2017 nchi zote za Ulaya nazo zilianza kitumia utaratibu huu.

Kama ambavyo nimesema kwamba sababu yangu hasa kugusia utaratibu huu ni mwanya unapatikana wa uwezo wa ku-track vifaa hivi mahala vilipo, mtumiaji na perfomance yake.

Sasa,

Baada ya MACE kuona mwenendo wenye kutia mashaka wa kituo cha WIV kama ambavyo nimeeleza kwenye sehemu iliyopita wakaamua kuwa mahususi kabisa kwenye uchunguzi wao huu na kuanza kufanya "Unique Device Count" pamoja na "Device Event Count" uchunguzi ambao uliwezekana kwa sababu ya vifaa vingi vya afya na maabara kwenye nchi za Marekani, Ulaya na Asia Magharibi wanatumia utaratibu wa kufanana kabisa na UDI System ambao unaweza kukitambua kifaa mahususi na kuki-track.
Katika ile ripoti kadiri ambavyo binafsi nimeisoma inapofikia sehemu hii vitu kadhaa vimekuwa classified na Wizara ya Ulinzi kwa namna kwamba kuna reduction kubwa sana ya maandishi na references kuhusu device hizi. Hivyo imebidi niende mbali zaidi kwa kushabihanisha na ripoti nyingine za DOD kuhusu Covid-19 ili kung'amua ni vitu gani hasa Wizara ya Ulinzi ya Marekani wame-reduct kwenye ripoti hii na kisha kuunga nukta.
 
Tazama hizo chati hapo juu…


KIELELEZO #1: Chart hii inaonyesha Rolling 5 day Avarage ya "Unique Events" katika kituo cha Wuhan Institute of Virology.

Tukisema "unique events" ina maana ya kwamba kila aina ya tukio (matukio ya ufanyaji kazi wa vifaa) linahesabiwa mahususi kwa upekee wake. Na hii Rolling Avarage ni kama "moving avarage" kwenye statistics… unakokotoa kwa kuchukua wastani wa 'subsets' na kulinganisha na wastani wa data ya jumla uliyonayo (mfano kwa hii yetu unachukua wastani wa Unique Events kwa kila siku tano tano kisha unalinganisha na wastani wa data ya jumla… ndio wapata Movinga Avarage (rolling avarage) ya data yote kamili na mwenendo wa matukio).

Sasa, hii Rolling Avarage inatuonyesha kuna 'two spikes' ya Unique device events kati ya tarehe 9 na tarehe 10 october mwaka jana 2019. Kisha baada ya tarehe tarehe 11 Rolling 5 Day Avarage inashuka mpaka sufuri.


Elekeza macho yako kwenye kielelezo #2.
Chati ya kushoto inaonyesha "Unique Device Count" na chati ya kulia inaonyesha "Unique Events Count". Tofautisha hiyo misamiati miwili. Kushoto ni chati ya "devices" kulia ni chati ya "Events" zilizotokana na hizo devices.
Kabla ya Octoba (August na September) utaona kuna spike mbili ambapi spike moja kati hizo mbili ina 'peaks mbili'. Kisha baada ya octoba spikes zote ziko flat zikiishia kwenye 1.
Ukitazama kulia utaona kuna spike tatu… moja ikiishia kwenye namba 20 na mbili zikifika mpaka 40. Kisha baada ya October spikes zote ziko chini mno.

Sasa tutafasiri kielelezo #1 na #2 katika lugha nyepesi zinatwambia nini?
Tunachokiona hapa ni kwamba, kwa mwezi October mwaka jana kulikuwa na jumla ya "device events" nane (8) ambazo zilisababishwa na "devices" moja pekee. (Hizi device events zilitokea kati ya october 6 (jumapili), october 24 (alhamisi) na october 26 hadi 27.
Mwezi November kulikuwa na jumla ya device events 4 zilizosababishwa na devices mbili. Hizi device events zilitokea November 2 (jumamosi) na November 26 (Jumanne).

Pia suala lingine muhimu tunalolitafasiri toka kwenye chati hizi ni kwamba kwenye mwezi October kulikuwa na siku 18 ambazo hakukuwa na na "observable events"(oct 6 mpaka 24) na mwezi November kulikuwa na siku 24 ambazo pia hakukuwa na "observable events" (Nov 2 mpaka 26).

Kwenye ile sehemu iliyopita tuliona kwamba baada ya kuanza mwezi october hakukuwa na 'flow' ya kawaida ya shughul. Lakini pia tuliona kwamba hata barabarani hakukuwa na 'traffic' ya kawaida ya magari na kulikuwa na dalili kwamba barabara inayopita karibu na kituo cha WIV ilikuwa imewekwa kizuizi ili kuzuia magari kupita.
Leo hii twaona kwamba kwa muda wa mwezi mzima wa October kulikuwa na "device" moja tu ambayo ndiyo ilisababisha events 8. Na november kulikuwa na device mbili ambazo zilisababisha events 4.

Hii ina maana gani?

MACE na wataalamu wa jeshi la Marekani wametafasiri kwamba viashara hivi vinne vinatoa tafsiri ya mambo mawili;
Mosi; eidha kuna jambo lilitokea na kupelekea maabara ya WIV ifungwe kuanzia mwezi october na kusababisha hii 'trend' ambayo nimeeleza kwenye sehemu hii na sehemu iliyopita.
Au, pili: kuna jambo la hatari lilitokea pale WIV na kupelekea 'evacuation' ifanyike na baadae watu wachache maalulum pekee kuwa na ruhusa ya kuingia kwenye maeneo ya taasisi hii.
 
Kwa hiyo maswali mawili yanakuja…
Nini kilitokea na kusababisha 'trend' ya shughuli pale WIV kubadilika namna ile kuanzia mwezi October mwaka jana katika namna ambayo haikuwa kutokea kabla.

Lakini swali la pili hizi device mbili (moja octobet na mbili November) ambazo ziliendelea ku-emitt transmissions (Device Events) zilikuwa zinatumika na akina nani na walikuwa wanafanya nini pale kituoni wakati ambao wenzao wengine hawakuwepo?

Hapa ndipo MACE wakaenda kwenye hatua muhimu ya uchunguzi twaita 'Pattern-of-Life Analysis'.
Kwenye ulimwengu wa ushushushu, tuseme kwa mfano nataka nikuteke au kukudhuru. Mfano tu.. loh
Kama ni jasusi hodari siwezi kuendesha Noah nyesui tu vuruluvurulu na kuja kukuteka au kukudhuru, kama nataka kutimiza azma yangu kwa weledi na ufanisi bila kuacha 'nyayo zangu' basi kwanza ni lazima nifanye Pattern-of-life Analysis.
Yaani kukutathimini Unaishi wapi, huwa unatoka muda gani nyumbani, unarejea muda gani, mtoto wako yupi unampenda zaidi, ukitoka unatumia usafiri gani, barabara gani unapenda kutumia, ofisini kwako ni wapi, una urafiki na nani ofisini, unapenda kwenda maeneo gani kujivinjari, starehe yako ni ipi, una siri gani ambazo mkeo/mumeo hazijui (mfano mchepuko labda.. huyo mchepuko anaishi wapi, anafanya kazi gani, huwa mnakutana wapi, siku zipi za wiki huwa mnapenda kukutana) na kadhalika, na kadhalika.
Unaweza kufanya hii analysis kwa mawiki au hata miezi kulingana na uzito wa target.. kiasi kwamba inafika muda naweza kubashiri kesho utakuwa wapi, muda gani, unafanya nini na nani.! Ukishijua target kwa kiwango hiki… unatafuta 'window'unatimiza azma yako… smoothly and clean.!!
Hiyo ndio twaita Pattern-of-life Analysis.

Sasa MACE wakaingia kwenye hii hatua ya kufanya Pattern-Of-Life Analysis. Kujua zile device mbili zilizokuwa zinaonekana mwezi october na November zilikuwa za kina nani na walikuwa wanafanya nini hasa pale WIV wakati kulikuwa na dalili kwamba eidha wanasayansi wote wamekuwa evacuated au kuna jambo la hatari limetokea na kusababisha watu wengine wote kuzuiliwa kuingia hapo maabara.


Sasa itazame hizo picha mbili hapa juu. Kuna jambo la muhimu kulielewa kuhusu mandhari ya Wuhan Institute of Virology. Kituo hiki cha utafiti kina majengo kadhaa yaliyo pamoja. Kila jengo lina kazi yake mahususi (nitaeleza moja moja). Lakini jengo hili ambalo nimelizungushia duara (tazama picha) ndilo ambalo ndani yake kuna maabara ya Level 4 ambayo hasa MACE walitaka kufanya Pattern-of-Life Analysis sababu ni jengo hili pekee ambalo lilionyesha kuwa na zile device mbili pekee zenye kuonyesha "event counts" zilionekana kuwa ndani yake na kuanzia katikati ya october ni jengo hili pekee la Level 4 ndani ya kituo ambalo lilikuwa linaonyesha kwamba kuna watu wawili mahususi ambao walikuwa ni wao tu wenye kuwepo eneo hili la WIV.



Habibu
To infinity and Beyond
 
It might be..

There must a hidden political agenda over the on going 12th straight day protesting against police brutality..[emoji848]

Even american knows; see the attached pic with comment on Deep State..

Hii comment nimekutana nayo leo nikiwa naperuse news Dailymail..

Huyu jamaa akitoboa November ni bahati sana.

US Top profiled politicians wemshaanza kuonyesha mwelekeo wao kuwa hawatamuunga mkono Trump..kama Bush, kina Romney, Obama .

Sasa jiulize Republican kama Bush wanamgeuga jamaa [emoji23][emoji23] Tena katika kipindi hiki yaani ..

Mzee wa Ku~Tweet ana kazi sana [emoji23]View attachment 1470898
Bush hakumuunga mkono hata 2016, alimchafua sana mdogo wake Jeb bush, pamoja na familia yao yote!

thats why hata mazishi ya mama mzazi wa bush na bush sr mr trump hakuhudhuria.... hawapendani


N.B/ kina bush na obama ni vibaraka tu wa deep state, hao watabe wenyewe huji kuwasikia....... na trump mwenyewe anatekeleza matakwa ya hao watabe, vinginevyo asingekua hai mpk leo! remember hajawa raisi wa US by chance, it was all planned!
 
Bush hakumuunga mkono hata 2016, alimchafua sana mdogo wake Jeb bush, pamoja na familia yao yote!

thats why hata mazishi ya mama mzazi wa bush na bush sr mr trump hakuhudhuria.... hawapendani


N.B/ kina bush na obama ni vibaraka tu wa deep state, hao watabe wenyewe huji kuwasikia....... na trump mwenyewe anatekeleza matakwa ya hao watabe, vinginevyo asingekua hai mpk leo! remember hajawa raisi wa US by chance, it was all planned!
Naungana na wewe kwenye hili.....
Wamarekani si wajinga kumweka pale yule mwamba. Wana mipango yao ya dhahiri na ya siri mingi sana kwa ustawi wa nchi yao. Wanajua nani wanweke na kwa muda gani.

Trump angeondoka kipindi cha kum- impeach
 
Back
Top Bottom