Ukiona mtu anaogopa beberu,basi ujue ana matatizo makubwa sana.WHO wapo kwa ajili ya mabeberu tu!
Yule ni Raisi ameeaminiwa na watu zaidi ya mamilioni..
Sasa kama walichopeleka ni uchafu unataka uboreshwe kivipi? Ule ni uchafu Madagascar wananywesha wasiojielewa. Ni kama kikombe cha babu wote waliokunywa ni wajinga wa mwisho.DJ nlikuwa namuona ndezi sasa ndio nimejua why amerudi ikulu mara mbili kwa vipindi tofauti hayo mabeberu ya WHO badala iboreshe dawa yanakataa shenzi zao
Acha kutumia dawa zao anza kunywa kikombe cha babu na mwarobaini hata machine za x-ray usizitumieMimi binafsi namuunga mkono Raisi wa Madagascar mimi binafsi kwa utashi want bila kulazimishwa na mtu najitoa WHO
mdogo mdogo tutafika..nchi ya China ilijetenga miaka hiyo sasa hivi wapo vzr kidunia
hawa watu bomu kweli kweliIla hata mimi hawa WHO dizain kama siwaelewi hivi.
Hakuna sababu ya kujitoa.Tunamwomba Rais Magufuli aitoe Tanzania WHO maana sasa inaonekana wamekuwa wakala wa Mabeberu
😂 Mkuu, acha kutoa povu, njoo na hoja kuonyesha hicho unachokiita upumbavu kujitoa WHO
Rais Rajoelina ni mnafiki.COVID-19: Madagascar quits WHO, calls on other African nations to do same
Madagascar President, Andry Rajoelina is calling on all African countries to quit the World Health Organization (WHO), saying Europe has bad faith towards Africa.
Andry Rajoelina says, Europe created these organizations with the will to keep Africans dependent on them. Citing the current issue, he says Africa has found a medicine against Coronavirus but Europe thinks they have a monopoly of intelligence and so they refuse to acknowledge it. With this backdrop, he invites all African Nations to quit the international organizations in order for Africa to build their organization.
“My country Madagascar leaves all the organizations tonight and I call on other African Nations to do same”, says President Andry Rajoelina.
Madaraka hayaongezi akili.Yule ni Raisi ameeaminiwa na watu zaidi ya mamilioni..
Amefanya maamuzi ya kiume aliyoyaona + uelewa alio nao.
Sasa sielewi ukurupukaji upo wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Itoe hapo USAID!“My country Madagascar leaves all the organizations tonight and I call on other African Nations to do same”, says President Andry Rajoelina.
=============
Which organizations? IMF, WB, UNICEF, FIFA, USAID .......
Wao wanataka watu wafe nyinyi mnakuja na dawa Tena third world, lengo lao Bado watu 10 mil kufa wengi wakiwa waafrikahawa watu bomu kweli kweli
Watu wanakufa,uchumi unayumba alafu wanatuambia dawa haifai italeta shida..
Sasa jee!?? Kati ya dawa na kifo kipi bora!?
Hata kama dawa ina madhara,lakini angalau mtu ana survive kwa muda mfup
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka watu wanyweshwe sumu.hawa watu bomu kweli kweli
Watu wanakufa,uchumi unayumba alafu wanatuambia dawa haifai italeta shida..
Sasa jee!?? Kati ya dawa na kifo kipi bora!?
Hata kama dawa ina madhara,lakini angalau mtu ana survive kwa muda mfup
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani wewe kazi yako hapa jukwaani ni kunengua mauno kulingana na biti za JPM, akisema mabeberu wabaya naww unadance hivyo hivyo...akisema mapapai yana HIV wala haujiulizi kvp we ni kukata uno tu!!.Who ni wakala wa mabeberu
Africa tuamke