mdogo mdogo tutafika..nchi ya China ilijetenga miaka hiyo sasa hivi wapo vzr kidunia
Wakati mwingine kutegemea sana hawa mabeberu wanatusumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya mwafrika ni akili na ubinafsi tusiwaigize wachina tutajiingiza chaka hatuna akili za maana sana