USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Jambo jemba sana hili maana WHO imekuwa ya kijinga hata sisi inatakiwa USA naye azingue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malaria ina dawa. Hii haimaanishi kuwa watu wameacha kufa kwa malaria. Magonjwa yote yako hivyo. Dawa hupunguza tu idadi ya vifo.Alafu mbona amjiulizi kwanini kesi za corona zinaongezeka huko Madagscar? haya saiz watu wawili washakufa kwa corona
Tungeona angalau amna kesi wala kifo huko Madagscar ndo angalau tungepata imaani kidogo na hyo daawa yao
Hata Trump amewasusiaWHO wapo kwa ajili ya mabeberu tu!