Mabibi na mabwana pana habari za kutia moyo sana tokea kwa wale magwiji wa tiba ambako mh. Kabudi aliwahi kufuata dawa ya kutibu Corona kwa niaba yetu.
Hatimaye Madagascar rasmi wamejisajili leo kwenye ule mpango maarufu wa chanjo za bure COVAX:
www.google.com
Kwa mtaji huu hawa tayari si wenzetu.
Hawa watakuwa wameangalia wakagundua kuwa "jamani tutaangamia." Kwamba si siri wajameni, "tutakwisha!"
Ya nini bwana, chanjo ya beberu si hii hapa?
Rasmi Madagascar wamo ndani ya nyumba.
Mh. Rais, makamu wa rais na serikali yote kwa ujumula muda wa kutumia busara ni sasa:
"Mwongozo mpya kuhusiana na gonjwa hili, ni dharura sana kwa wapenda maisha wote."
Chonde chonde ndugu zangu inahitaji jitihada zetu kutokurejea uhuru stadium, japo katika siku hizi za karibuni.
Waachwe wanaotaka kuchanjwa wachanjwe. Maisha ni ya mtu mmoja mmoja tusilamishane kuchanjwa au kutochanjwa.
Ninawasilisha.
www.africanews.com
Hatimaye Madagascar rasmi wamejisajili leo kwenye ule mpango maarufu wa chanjo za bure COVAX:
Madagascar joins the COVID-19 vaccine COVAX programme | Africanews
Madagascar joins the COVID-19 vaccine COVAX programme.
Kwa mtaji huu hawa tayari si wenzetu.
Hawa watakuwa wameangalia wakagundua kuwa "jamani tutaangamia." Kwamba si siri wajameni, "tutakwisha!"
Ya nini bwana, chanjo ya beberu si hii hapa?
Rasmi Madagascar wamo ndani ya nyumba.
Mh. Rais, makamu wa rais na serikali yote kwa ujumula muda wa kutumia busara ni sasa:
"Mwongozo mpya kuhusiana na gonjwa hili, ni dharura sana kwa wapenda maisha wote."
Chonde chonde ndugu zangu inahitaji jitihada zetu kutokurejea uhuru stadium, japo katika siku hizi za karibuni.
Waachwe wanaotaka kuchanjwa wachanjwe. Maisha ni ya mtu mmoja mmoja tusilamishane kuchanjwa au kutochanjwa.
Ninawasilisha.
Madagascar joins the COVID-19 vaccine COVAX programme | Africanews
Madagascar joins the COVID-19 vaccine COVAX programme.