COVID-19: Nani mkweli kati ya Serikali yetu na Ubalozi wa Marekani? Je, Tanzania tunawaogopa sana Wamarekani? Kwanini waseme uongo huu waachwe?

Ubalozi wana haki kutoa taarifa kwa raia wao pia Wana haki ya kupata taarifa za sahihi kulingana na ukweli na vigezo au miongozo ya kimataifa...

Kumbuka taarifa na takwimu za mwazo zilivyokuwa.. kusimamisha upimaji wa Corona. Mbinu zinazotumika. Na Hali ya Sasa .... Kifupi tutegemee Sala na Nyungu.

Wagonjwa wapya wanatagazwa wakivuka Boda, hospitali wagonjwa wa Corona wanapugua...
 
Kidiplomasia ubalozi wa marekani hawakutakiwa kutoa taarifa kama hii badala yake wizara yao ya mambo ya nje ndio wangetoa taarifa kwani inaonekana katika nchi yetu huru kuna mamlaka mbili zinashindana
Ila kiuhalisia Corona ipo na watu wengi wanakufa mbaya zaidi kutokana na kauli za wanasiasa watu wengi wameacha kuchukua tahadhali kwenye mabasi watu wanajazana na pia hawavai barakoa na hata ile namba ya kutoa tahadhali au taarifa juu ya Corona ukipiga inaita hadi inakatika cha muhimu tuelewe Corona ipo kila mtu achukue tahadhali
 
Pasco ukiona wanatusakama wanajua hatuwaogopi
 
Serkali inasema corona corona ipo tuchukue hatua hatua ni jambo la mtu kama ilivyo ukimwi
 

Wewe unawamini wamarekani kwa taariafa wanazo zitoa?
Lini umefanya tafiti kubaini ukweli wa kinachosemwa na ubalozi wa marekani
Usitake kubisha vitu ambavyo havina ukweli mkuu. Corona isiwe sababu ya watu washindwe kuendelea na maisha mengin
Siasa inagusa vitu vingi, kama utakuwa unajitambua basi utakuwa umeelewa
 
Leta idadi kamili isiyo na ukakasi
 
Wazungu wanajua jpm ndio kiboko yao wanamwogopa
 
Wamarekani wanaisha kwa corona wenyewe wako bize na kuuwa wafrika
 
Jpm ameikimbiza corona hadi imeisha ,nyie mnalialia humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…