fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,071
NIkiangalia jenga la CORONA na uvaazi wa mitumba naona kabisa tunaenda kupata UGONJWA HUO kwa njia za mitumba. Ugonjwa huo unasemwa unaambikizwa kwa kugusa sehemu yenye virusi hivyo ndio maana tunashauri kunawa mikono mara kwa mara. njia za kupata zipo nyingi ila hiyo ya kugusa ni mojawapo.
NAOMBA serikali izuie mara moja kuingiza mitumba, najua wagonjwa na wafu wa ugonjwa huo huko ulaya na asia watataka kudispose nguo zao. Tamaa ya pesa inaweza kuishia tufunga marobota ya mitumba na kuuzia waafrika wenye mahitaji na nguo hizo. TUJIKINGE kwa kusema mitumba sasa basi.
mitumba iliyopo bandari sasa na ambayo imeingia miezi miwili mitatu hivi yaani from January 2020, ichomwe moto. hasara lakini salama.
Nawasilisha ushauri wangu
---
We warn all Africans not to acquire or search for used clothing during this period and also during the period to come, because in most European cities which are currently experiencing the spread of the Corona virus are getting rid of clothes of infected patients both dead and alive most especially in homes where people have been infected with the virus.
Many of those who care about ecporting these clothes do not care about the health of others and they now collect them with the intent to sell them to Africans who buy and import them to Africa. .
It would be better now and for your safety and that of your children to avoid the use of newly acquired used clothing.
Don't let this message stand up to you and try to share it as much as possible.
NAOMBA serikali izuie mara moja kuingiza mitumba, najua wagonjwa na wafu wa ugonjwa huo huko ulaya na asia watataka kudispose nguo zao. Tamaa ya pesa inaweza kuishia tufunga marobota ya mitumba na kuuzia waafrika wenye mahitaji na nguo hizo. TUJIKINGE kwa kusema mitumba sasa basi.
mitumba iliyopo bandari sasa na ambayo imeingia miezi miwili mitatu hivi yaani from January 2020, ichomwe moto. hasara lakini salama.
Nawasilisha ushauri wangu
---
We warn all Africans not to acquire or search for used clothing during this period and also during the period to come, because in most European cities which are currently experiencing the spread of the Corona virus are getting rid of clothes of infected patients both dead and alive most especially in homes where people have been infected with the virus.
Many of those who care about ecporting these clothes do not care about the health of others and they now collect them with the intent to sell them to Africans who buy and import them to Africa. .
It would be better now and for your safety and that of your children to avoid the use of newly acquired used clothing.
Don't let this message stand up to you and try to share it as much as possible.