COVID-19; Serikali izuie kuingiza mitumba nchini

COVID-19; Serikali izuie kuingiza mitumba nchini

Kila Mara tunasema ninyi watu huu ugonjwa umewaleteeni ka ugonjwa kengine kanakoitwa ujuaji,hivi unajua life span ya corona virus mkuu? Na unajua nguo kutoka ulaya kutufikia watanzania ni muda wa miezi mingapi? Achilia mbali hatua ambazo hufanyiwa hizo nguo kabla ya kuwa shipped to other countries.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka huu kuna watu tutazalilika!
Huko wanakufa sisi wenye Kinga zetu tutatembea uchi ama nusu uchi ilimradi tu korona imefanya yake😂
Ni vema kujidhatiti mapema na kuchukua hatua.
 
Kutokana na hali ilivyo sasa ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 katika Nchi nyingi Duniani bidhaa zote za mitumba nguo,mikoba,viatu n.k vinaweza kuchochea maambukizi siku zijazo.

Ni wajibu wetu kwa sasa kuishauri Serikali hasa wenye dhamana ya mazingira kuliangalia angalizo hili na kujridhisha na bidhaa ambazo pengine zinaweza kutuletea madhala siku za usoni.
Wadudu wa corona hawana uwezo wa kuishi kwa muda mrefu kisi hichi nje ya mwili wa binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na hali ilivyo sasa ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 katika Nchi nyingi Duniani bidhaa zote za mitumba nguo,mikoba,viatu n.k vinaweza kuchochea maambukizi siku zijazo.

Ni wajibu wetu kwa sasa kuishauri Serikali hasa wenye dhamana ya mazingira kuliangalia angalizo hili na kujridhisha na bidhaa ambazo pengine zinaweza kutuletea madhala siku za usoni.
Ili Kirusi kiishi kinahitaji hewa safi na kimiminika. Kwenye belo la nguo hivyo vitu viwili vya msingi hakuna. After all hizo nguo huwa heavily disffected.
 
Fanya tafiti,
Halafu uje na ufafanuzi wa ulichosema VINAWEZA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafiti za namna hii ni ghari kwa sisi watu wa kawaida kufanya,kwa mfano TBS au Mkemia Mkuu ndio pengine wanaweza kufanya kwa maana ya kuchukua sample husika na kutupatia majibu.
Nimeleta Uzi huu ili tuchakate mawazo,maana kuna clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni inayotaadhalisha juu ya shehena za nguo/mitumba kutoka nje inayotazamiwa kuletwa Africa.
Hivyo sisi kama sehemu ya nchi za kiafrika ni wajibu wa kuchukua hatua muhimu za awali/tafiti hata kama siku kweli kuwa yanayosemwa juu ya bidhaa hiyo muhimu kwa Waafrika tulio wengi.
 
Nguo za mitumba zinapatikanaje,
Inachukua siku ngapi kuziandaa mpaka kuzifikisha huku sokoni,
Kirusi cha Covid kinaishi muda gani katika nguo,
Kisha pima km nguo mtumba zaeza beba kirusi
Tafiti za namna hii ni ghari kwa sisi watu wa kawaida kufanya,kwa mfano TBS au Mkemia Mkuu ndio pengine wanaweza kufanya kwa maana ya kuchukua sample husika na kutupatia majibu.
Nimeleta Uzi huu ili tuchakate mawazo,maana kuna clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni inayotaadhalisha juu ya shehena za nguo/mitumba kutoka nje inayotazamiwa kuletwa Africa.
Hivyo sisi kama sehemu ya nchi za kiafrika ni wajibu wa kuchukua hatua muhimu za awali/tafiti hata kama siku kweli kuwa yanayosemwa juu ya bidhaa hiyo muhimu kwa Waafrika tulio wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom