CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

Leo tumegonga 81, tunapandisha vinoma, sema nilitegemea hii noma kuanza kuwa balaa kadiri tunavyopima kwa mkupuo.
Umenotice vile mass testing imeanza kuleta matokeo ya +ve mengi kwa mpigo ! ?

Sasa watu kama sisi ambao tumeona hilo jedwali na tukaona vile hizo nchi zengine mlipuko wa kesi uliongezeka walipoanza mass testing , hatushtuki sana manake tunaelewa kwanini kesi zinaongezeka kwa wingi , lakini kama ulikua hauna hii information sahii utajikuta ume panic na unaanza kushikwa na stress manake haujui tunakoelekea manake juzi tulikua 48 leo tuko zaidi ya 100 ...
 
Umenotice vile mass testing imeanza kuleta matokeo ya +ve mengi kwa mpigo ! ?

Sasa watu kama sisi ambao tumeona hilo jedwali na tukaona vile hizo nchi zengine mlipuko wa kesi uliongezeka walipoanza mass testing , hatushtuki sana manake tunaelewa kwanini kesi zinaongezeka kwa wingi , lakini kama ulikua hauna hii information sahii utajikuta ume panic na unaanza kushikwa na stress manake haujui tunakoelekea manake juzi tulikua 48 leo tuko zaidi ya 100 ...
Vifo pia vimeanza kuongezeka, wataalamu wanasema " mortality rate ya Covid-19 ni 2 -3%.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu mpumbavu Kenya Kama mtu mmoja anaitwa254,Yani hata majanga unashabikia!! Eti nilitegemea hii kadir tunavyopima kwa mkupuo bwebwe zoote hizi ili musionekane wazembe kwahiyo unatuaminisha corana haizuiliki ukiona una idadi chache ujapima kwa mkupuo si ndio

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe mbona imekuuma hivi, hasira zako hizo hzitapooza Corona, ni kirusi ambacho kimeshatua Afrika na lazima tupambane sio kujiwekea hasira za kijinga.
Fahamu kwamba sisi tunapima watu 300 kwa siku ilhali nyie juzi waziri wenu niliona sehemu amesema mumefaulu kupima watu 300 tangu Corona iwashukie, sasa hapo labda kilaza stupid mwenye IQ ya zezeta hataweza kuelewa tofauti ya nchi inayopima watu 300 kwa siku na ambayo inapima 300 kwa wiki mbili.
Tatizo lenu mnategemea maabara moja tu, Tanzania visiwani mpaka bara, mikoani kanda ya ziwa, kusini na kaskazini nyote mnatuma samples zenu sehemu moja Dar, kule sampuli zimesongamana.
Sisi hapa tuna maabara kadhaa zimezagaa maeneo tofauti, hivyo tunao huo uwezo wa kupima watu wengi kwa kasi. Nyie mumekua mfano wa mtu kuwachekelea wenye UKIMWI kisa yeye hajapima, yupo yupo tu.
Fahamu hiki kirusi kinasambaa kama moto wa porini, hao wachache mliofaulu kuwagundua nacho utakua kila mmoja anaweza kuwa aliambukiza watano na hao watano kila mmoja huko mbele kaambukiza watano wake....mtandao mrefu sana na ndio kinachotendeka Ulaya.
Hiki kirusi kuna wengi wanaambukizwa na kuambukiza hata kabla hawajaona dalili, yaani ukiambukizwa, chochote utagusa au yeyote unamgusa anacho.
Huko kwenu tatizo wataalam wote wamekua waimba mapambio wa kumsifia rais badala ya kumshauri, ameishia kuwa na kauli tofauti na marais wote wa dunia, amewaambia mchukulie poa na kuendelea na maambo ya misongamano.
 
Umenotice vile mass testing imeanza kuleta matokeo ya +ve mengi kwa mpigo ! ?

Sasa watu kama sisi ambao tumeona hilo jedwali na tukaona vile hizo nchi zengine mlipuko wa kesi uliongezeka walipoanza mass testing , hatushtuki sana manake tunaelewa kwanini kesi zinaongezeka kwa wingi , lakini kama ulikua hauna hii information sahii utajikuta ume panic na unaanza kushikwa na stress manake haujui tunakoelekea manake juzi tulikua 48 leo tuko zaidi ya 100 ...

In fact mimi nafurahi tunavyozidi kuwapata waathirika wote mapema kabla hawajaitia ngoma mtaani, mimi leo hata nikiambiwa tumegonga 5,000 nitaona afueni ilmradi tests zinafanyika kwa kasi na kwa mkupuo, wakusanywe wote mapema.
Mataifa ya kule Ulaya yaliyochelewa kuwafanyia watu wake vipimo kwa kasi, leo wanalia sana maana ngoma ilishatinga mtaani, unakuta hata ukiwaambia watu wajifungie ndani ni kazi bure maana huko ndani wanaambukizana familia zote.
 
In fact mimi nafurahi tunavyozidi kuwapata waathirika wote mapema kabla hawajaitia ngoma mtaani, mimi leo hata nikiambiwa tumegonga 5,000 nitaona afueni ilmradi tests zinafanyika kwa kasi na kwa mkupuo, wakusanywe wote mapema.
Mataifa ya kule Ulaya yaliyochelewa kuwafanyia watu wake vipimo kwa kasi, leo wanalia sana maana ngoma ilishatinga mtaani, unakuta hata ukiwaambia watu wajifungie ndani ni kazi bure maana huko ndani wanaambukizana familia zote.
Alafu pia ikumbuke wengi wa wale 300 waliopimwa jana ni miongoni mwa wale 2050 ambao tayari walikua ndani ya mandatory quaranteen baada ya kunaswa kwa contact tracing na pia wale ambao walikua wametoka nje ya nchi ambao pia wako chini ya mandatory quaranteen.... Kwahivyo tayari hao jamaa walikua isolated from the public na walikua hawako mtaani wakismbaza ugonjwa.
 
Vifo pia vimeanza kuongezeka, wataalamu wanasema " mortality rate ya Covid-19 ni 2 -3%.


Sent using Jamii Forums mobile app
Africa iko na average life span ya 60 years.. Wazee wengi walishauliwa na magoonjwa mengine kama TB, malaria, cholera, HIV..etc kwahivyo watu wasitarajie kuona waafrica wanaanguka kwa wingi kama kule uingereza ambako watu wazee ni wengi sana, na hata wale wazungu ambao si wazee sana hua tayari ni wakongwe alafu ukiuliza miaka unapata hata bado yuko 57 au ndo ameingia 60
lakini kwa upande mwengine pia, kuna wale walio na virusi vya ukimwi ambao immunity yao iko chini, kwahivyo huwezi jua hali itaendaje huku AFrica
 
Alafu pia ikumbuke wengi wa wale 300 waliopimwa jana ni miongoni mwa wale 2050 ambao tayari walikua ndani ya mandatory quaranteen baada ya kunaswa kwa contact tracing na pia wale ambao walikua wametoka nje ya nchi ambao pia wako chini ya mandatory quaranteen.... Kwahivyo tayari hao jamaa walikua isolated from the public na walikua hawako mtaani wakismbaza ugonjwa.
Sasa kama walikua under mandatory quarantine kulikua na sababu gani muwapime wote?, kwasababu baada ya wiki mbili hao wote 29 wangeonyesha dalili, hamuoni kwamba mnapoteza resources bure?. Museven is much clever than all Kenyans.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa iko na average life span ya 60 years.. Wazee wengi walishauliwa na magoonjwa mengine kama TB, malaria, cholera, HIV..etc kwahivyo watu wasitarajie kuona waafrica wanaanguka kwa wingi kama kule uingereza ambako watu wazee ni wengi sana, na hata wale wazungu ambao si wazee sana hua tayari ni wakongwe alafu ukiuliza miaka unapata hata bado yuko 57 au ndo ameingia 60
lakini kwa upande mwengine pia, kuna wale walio na virusi vya ukimwi ambao immunity yao iko chini, kwahivyo huwezi jua hali itaendaje huku AFrica
Lakini hadi Leo Kenya ina wagonjwa 110 na vifo 3, bado ipo ndani ya hiyo 2-3%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna projection zimeonyesha mwezi huu hapa Kenya tutakua na waathirika 10,000 hivyo muhimu kujiandaa kisaikolojia, serikali iendelee kupima kwa kasi na kufukuzia marafiki wa marafiki wa marafiki wa waathirika wote, vituo vya kupima viwe kote nchini, halafu Wakenya tuhamasishane njia za kujizuia, binafsi kila siku nafanya ugomvi na makondakta wa daladala wanaofanya uzembe, tuwatajie bila kuchoka, na zaidi ya yote tuepuke kusafiri kwenda vijijini waliko wazee wetu.
 
GOK is doing it's part to control this Monster, it is now up to the citizens to follow on the guidelines or we will perish in numbers greater than Italy. If you do not want to do it for yourself do it for the elderly, the diabetics and hypertensive people around you.
a) social distance
b) sanitization: Just good old soap and water will go a long way.
c) Contact Ministry of health under their toll free number if you suspect a case in your area.
d) Use a face mask if you are coughing or sneezing to protect your fellow citizens
e) Reduce travelling and avoid large crowds
f) Work and learn from home
 
Kuna projection zimeonyesha mwezi huu hapa Kenya tutakua na waathirika 10,000 hivyo muhimu kujiandaa kisaikolojia, serikali iendelee kupima kwa kasi na kufukuzia marafiki wa marafiki wa marafiki wa waathirika wote, vituo vya kupima viwe kote nchini, halafu Wakenya tuhamasishane njia za kujizuia, binafsi kila siku nafanya ugomvi na makondakta wa daladala wanaofanya uzembe, tuwatajie bila kuchoka, na zaidi ya yote tuepuke kusafiri kwenda vijijini waliko wazee wetu.
Very true, if we do not follow the guideline we will get to 10,000 by end of june.
 
Chem 101, kwani mlisoma Mambo ya Ph how late? Sisi tulifanya back in High school form 1. Kuna vile some bacteria and viruses zinashindwa kumudu au ku-survive under some certain PH level but I am no expert in such.
Sasa umeniquote alafu unaenda off topic. Kwani ulilazimishwa kujibu? Au umeelewaje "chemistry 101"
 
Nakiri niliokoteza kwenye Whatsapp group na sikutafiti kuhakiki, nimeiweka humu ili wadau kama wewe unayejiita mtaalam uichambue kama ina mashiko na kama inaweza kuisadia jamii.
Mimi sio mtaalam, najaribu kutofautisha news na fake news
 
Back
Top Bottom